zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Matunda yenyewe ni Uzinzi na Vurugu.
Labda kwenye moyo wa Wazinzi like Mwenyekiti na Katibu wataalam wa kuvunja ndoa na Kula bata na wapenzi wao nje ya nchi.
kama mwigulu na kapuya ze prooofesory
Matunda yenyewe ni Uzinzi na Vurugu.
Labda kwenye moyo wa Wazinzi like Mwenyekiti na Katibu wataalam wa kuvunja ndoa na Kula bata na wapenzi wao nje ya nchi.
Too long to read & work done zero, huu si wakati wa kutuwekea picha za vita za Somalia, Liberia na mauaji ya kimbari ya Rwanda eti vinasababishwa na vyama vya upinzani, sepa na propoganda zako
Nakumbuka Maremu Babu yangu alishawahi kuniambia kua - Ukiona kitu kinaongelewa sana tena Sana basi ujue kinakubalika!
Sababu yanayojitokeza kwenye chama hicho kikuu cha upinzani yanaonekana madogo kwa vile chama hicho hakijapewa ridhaa ya kuvisimamia vyombo vya dola, lakini pindi wananchi wakikipa ridhaa hiyo sitaona ajabu yakitokea hapa nchini kwetu kama yale ya Renamo kule Msumbiji, Unita kule Angola, M 23 kule Congo nakadhalika. Maana hayo yote ni matokeo ya uasi katika uendeshaji wa nchi, ambao tayari unajionyesha ndani ya Chadema.
unachekesha wanachama wa chadema unasema ni nyumbu,kwanini usiseme wananchama wa maccm ndo nyumbu 52yrs unakumbatia umaskini ufisadi ,mauhaji elimu duni afya duni,nk hawa ndo nyumbu na manguruwe sio watu wa cdm ambao ata miaka 10 hawana ndani ya chama .kitu ambacho hukijui cdm wana mungu wa eliya, ie mungu wa Ibrahim,yakob,isaack,mungu wa Israel.
ccm mna mungu wa baali,mungu jike,bar yesu,kila siraha kila ulimi utakaonyanyuka juu ya cdm mtakutata na mungu mwenyezi jina lake yesu wa Nazareth,tuinganganie ccm kwa lipi after all long 50yrs? devol
Nyumbu wapo lumumba
JK kazaa na wanawake wangapi vile................... Naye ni Mzinzi tu.Matunda yenyewe ni Uzinzi na Vurugu.
Labda kwenye moyo wa Wazinzi like Mwenyekiti na Katibu wataalam wa kuvunja ndoa na Kula bata na wapenzi wao nje ya nchi.
Jamani, huyu British economist bila shaka ni Mwigulu Nchemba