Watanzania tusidanganyike, tumepuuzwa kwenye mikataba ya DP World

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,059
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
 
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
Wewe wataka ijadiliwe hapa jf au bungeni wewe huna imani na wakilishi wako serikalini au bungeni? Ila ni classified focument kwasbb ni biashara sio lazima dick and mary waijue.
 
Wewe wataka ijadiliwe hapa jf au bungeni wewe huna imani na wakilishi wako serikalini au bungeni? Ila ni classified focument kwasbb ni biashara sio lazima dick and mary waijue.
Unapinga nini na unakubali nini?

IGA, ambayo ilipitishwa na lile bunge bandia, ilitamka wazi kuwa HGA zote ni mikataba ya siri, haitajadiliwa. Maana yake inaandaliwa kwa siri na kisha kuwekwa saini, na hakuna atakayekuwa na mamlaka ya kuhoji wala kujadili. Na ndicho kilichofanyika kwa hii HGA iliyosainiwa leo. Kwa hiyo wametenda kama IGA inavyotamka.

HGA ya leo inahusu bandari ya Dar, lakini huko mbeleni zinaweza kuja HGA za maeneo mengine ya bandari za kwenye bahari, maziwa na mito, kama IGA inavyotamka.
 
Unapinga nini na unakubali nini?

IGA, ambayo ilipitishwa na lile bunge bandia, ilitamka wazi kuwa HGA zote ni mikataba ya siri, haitajadiliwa. Maana yake inaandaliwa kwa siri na kisha kuwekwa saini, na hakuna atakayekuwa na mamlaka ya kuhoji wala kujadili. Na ndicho kilichofanyika kwa hii HGA iliyosainiwa leo. Kwa hiyo wametenda kama IGA inavyotamka.

HGA ya leo inahusu bandari ya Dar, lakini huko mbeleni zinaweza kuja HGA za maeneo mengine ya bandari za kwenye bahari, maziwa na mito, kama IGA inavyotamka.
Mkuu nimekupata sasa point yako hasa ni nini? Haliakua wote mimi na watanzania karibia wote hatujui kolichomo kwenye IGA na HGA.
 
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
Umeangukiwa na kitu Kizito kichwani
 
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
Huna utaalamu na bandari, waachie wenye fani. Kila mtu ni mjinga kwenye fani ya mwingine. Serikali inao Wataalamu wanaojua mambo ya bandari kuliko wewe mbwabwajaji
 
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
Hayo ni makaratasi tu muda ukifika wa raia kuchukua au kusimamia mali zao huwa hizo karatasi huwa hazina msaada tena. Acha Goma lianze uone moto
 
Kwa kifupi kabisa ni kwamba, baada ya sauti nyingi kuipinga IGA, hakuna hata kimoja kilichorekebishwa. Kila kitu kimebakia vile vile, na kwa dharau kubwa Serikali imeenda kwenye hatua ya kusaini HGA, ambayo kwa kadiri ya content ya IGA, HGA ni siri na haijadiliwi na chombo chochote, ndiyo maana leo tumeshuhudia HGA ikisainiwa bila ya kujadiliwa.

HGA iliyosainiwa leo ambayo ni mtoto mmojawapo wa IGA, haina uwezo wa kubadilisha hata nukta moja ya IGA.
Wale Watanzania wenye utimamu wa akili na uzalendo. Tambueni kwamba huyu mama kajisomba uarabuni mara nyingi kweli. Nawaambieni hakuna mkataba utakao inufaisha Tanzania hapa. DP hajapata hii nafasi kwa Fair competition. Katumia faranga kweli. Watu wamejazwa kweli. Kama mtanyamaza kimya tambueni mmebariki nchi yenu kunyonywa. Kamwe usiamini hata kidogo neno la mwenyekiti litokalo kwenye kinywa chake. Ananuka deal. Over.
 
Unapinga nini na unakubali nini?

IGA, ambayo ilipitishwa na lile bunge bandia, ilitamka wazi kuwa HGA zote ni mikataba ya siri, haitajadiliwa. Maana yake inaandaliwa kwa siri na kisha kuwekwa saini, na hakuna atakayekuwa na mamlaka ya kuhoji wala kujadili. Na ndicho kilichofanyika kwa hii HGA iliyosainiwa leo. Kwa hiyo wametenda kama IGA inavyotamka.

HGA ya leo inahusu bandari ya Dar, lakini huko mbeleni zinaweza kuja HGA za maeneo mengine ya bandari za kwenye bahari, maziwa na mito, kama IGA inavyotamka.
Walisema watarekebisha mapungufu yote ya IGA kwenye mikataba ya kisekta! Very funny. Wabunge wanahitaji kunyooshwa ili wajue sisi ni nani
 
Back
Top Bottom