johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,979
- 141,996
Wewe angalia kilichoendelea bungeni ambako kuna PhD za Sheria na Uchumi za kutosha wakati wanaojadili IGA
Halafu angalia ilivyokuwa jana pale Dodoma wakati wa kusaini HGA
Halafu waangalie DP World walivyorelax tokea IGA hadi HGA
Kisha muulize mwanasheria nguli kutoka Chama cha Kijamaa CCM Wakili msomi Komredi Pascal Mayalla, je IGA ni Makubaliano au Mkataba?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Halafu angalia ilivyokuwa jana pale Dodoma wakati wa kusaini HGA
Halafu waangalie DP World walivyorelax tokea IGA hadi HGA
Kisha muulize mwanasheria nguli kutoka Chama cha Kijamaa CCM Wakili msomi Komredi Pascal Mayalla, je IGA ni Makubaliano au Mkataba?
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀