Watanzania tuna laana?

Watanzania tuna laana?

Daaah shule shule shule muhimu sana aiseeee, hicho kiswahili chako hatariii
 
Rahana ni mnyama gani? Pili nani alikudanganya kwamba upuuzi wa mtu mmoja ni tunu kwa taifa? Hizo chips lilinunuliwa taifa zima ama?
 
WANAJAMVI, hamjambo? naomba huschangie pasipo kusema hali yako, leo nimesikitika sana na kujikuta jumapili yangu inakaribia kuisha vibaya, yan jamani mtanzania mwenzetu leo alikuwa anatoa ushuhuda jinsi alivyo kuwa SHOGA, pale kwa TB joshua, anaeleza kuwa kipindi kire alikuwa na miaka kumi aliitwa na mzee mmoja pale Arusha akampa chips, na vipipi, na vitu vingine vitamu baada ya hapo alimlazimisha na kumra LAINI kongwe nchini.

anasema tangu hapo kijana wa watu amekua akitoa laini kongwe yenye 4G MATATA, kama hana akili nzuri jaman ni aibu sana yani mzee wa amakmu anakula laini kongwe, kijana amesema tangiapo amekuwa akiliwa laini kongwe na viongozi mbalimbali, kama wabunge na mawaziri jamani mwenzenu imeniuma, inakuwa je watu tunakuwa wanya hivyo tunakula TIGO wakati k zimejaaa? vibandani buku jero sasahivi tangu mzee Magu hachukue nchi ebu tubadiulike.
Mkuu naona umeiripot kwa bwebwe sana habar ya Mtanzania Richard, wakat anatoa shuhuda ya maovu yake tena kwa Lugha ya Kiswahili, kwakweli Inatia Uchungu sana bt yameshatokea na Mungu amemtendea jema, amefanya uponyaji Juu ya tatizo lake, hatupaswi kudharau au kutoa hukumu coz siyo kazi yetu
 
Dah! Hata sijui nianzie wapi.
bora ujipie zako coz usije ukamuhukumu wakat si kaz yako! Nimemuona yule kijana J2 iliyopita na Leo kwa kweli Binadamu inabidi tumshke Mungu kisawasawa
 
Duu hii mpya eti rahana......pia watu kwa uongo eti viongoz wskubwa kama wabunge na mawazir,hahahahaa nahis hiyo chumv umeongeza mwandsh(mwanafunz) ili urembeshe iyo "rahana"
 
Back
Top Bottom