Watanzania tumezidi kukosoa

Watanzania tumezidi kukosoa

Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza

Si hatutaki mema ya mtu, sisi tunataka maisha yanayoeleweka, sisiemu imetudanganya vya kutosha, haki sawa kwa wote, maisha bora kwa kila mtanzania, hapa kazi tu wakati makampuni yanafungwa na wengine kupunguza kazi, maduka yanafungwa.
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Watanzania wapumbavu wachache hawajui thamani ya kitu hadi kitakapopotea lakini tulio wengi tunathamini na kuunga mkono juhudi za mh Rais katika kutupeleka katika uchumi wa kati
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Mkuu Tabula, you are right, this is becoming too much!.
Niliwahi kushauri humu
Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!.
2017 JF Tubadilike, Tupunguze Kuwa "Barking Dogs, Seldom Bite", Tusiishie Kubweka Tuu, Tung'ate!.
Watanzania tukosoane kwa nia ya kujenga na sio kubomoa- Clouds 360
Rais Magufuli na serikali yake wakosolewe kwa hoja sio kwa viroja - Jicho letu, Star TV
Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli

Na ili kuthibitisha kuwa Magufuli anakubalika sana, sisi wengine tumeshauri humu, kwa 2020, hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli aendelee tuu hadi 2025
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Paskali
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
b766d1aaa2510f06deb6ce43436f1db2.jpg
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Sio udhaifu ni ujeuri ndio uliozidi kupindukia wacha SIZONJE akosolewe
 
Kama TRA wanavyokaza na wakosoaji wanakaza sababu mishahara wake ni hela za wakosoaji
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
kweli hakuna
 
Si hatutaki mema ya mtu, sisi tunataka maisha yanayoeleweka, sisiemu imetudanganya vya kutosha, haki sawa kwa wote, maisha bora kwa kila mtanzania, hapa kazi tu wakati makampuni yanafungwa na wengine kupunguza kazi, maduka yanafungwa.
Mkuu mizwazwa mingine c ya kuijibu
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Hebu taja mema ata matano tu.
mie ninakuhakikishia kwa swala la ajira kafeli 100%
 
Watanzania wapumbavu wachache hawajui thamani ya kitu hadi kitakapopotea lakini tulio wengi tunathamini na kuunga mkono juhudi za mh Rais katika kutupeleka katika uchumi wa kati
Nasubilia kipotee hata sasaivi sababu hakina thamani
 
aliomba tumwombee, tukamwombea, mungu akatuma ujumbe was malaika akasema Hugo mnayemwombea atubu kwanza, tumerudisha majibu anaanza kupambana nasi
 


Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza

 
Back
Top Bottom