Hiyo nguo ya juu ni chafu (majasho) au macho yangu?Mtaani kwetu kilikuwa na kabinti, usubuhi kakitoka nyumbani kamevalia sketi ndefu na blausi isiyo onyesha maungo kakifika mjini kanavaa za mjini: siku ya siku kakakumbana na baba yake benki, jiulize kilitokea nini.................
huyo atakuwa kajimwagia bia si unaona kapendeza(kalewa).Hiyo nguo ya juu ni chafu (majasho) au macho yangu?
Hii ndio nini sasa...:embarassed2: