Hapa zimeshatoka mimba kibao. Wachakachuaji wasio na idadi. Ndo mabinti zetu walivyo.
Anajiita Lady Haanifa kama sikosei
mie mwenyewe nipo dailema hapo, mie nadhani hii ni laana na wala si kujaaliwaSasa hapa wa tz tumejaliwa nini??ulevi,kutembea nusu uchi,kutukia kalo laiti(mkorogo) au nini?sijaelewa