Watanzania tujivunie Kiswahili chetu.

Watanzania tujivunie Kiswahili chetu.

moma2k

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
1,109
Reaction score
1,423
Kuna watu wanang'ang'ania kuongea English ili kujipambanua kuwa wasomi.Lakini English yenyewe ni vunjashingo. MFANO: Tundu Lisu aliongea Kiingereza Bungeni jana ktk mjadala wa wizara ya nje, nanukuu kingereza chake Lisu: "WE DON'T KNOW NOTHING". Note: Hiki siyo kiingereza, bali ni upuuzi. Shida ya watu walioishia Master's Degree hupenda kujionesha kuwa wana PhD.Kumbe hakuna.
 
Kuna watu wanang'ang'ania kuongea English ili kujipambanua kuwa wasomi.Lakini English yenyewe ni vunjashingo. MFANO: Tundu Lisu aliongea Kiingereza Bungeni jana ktk mjadala wa wizara ya nje, nanukuu kingereza chake Lisu: "WE DON'T KNOW NOTHING". Note: Hiki siyo kiingereza, bali ni upuuzi. Shida ya watu walioishia Master's Degree hupenda kujionesha kuwa wana PhD.Kumbe hakuna.
Ila ni kweli kwamba wengi hawaijui hii lugha. Mfano juzi nilikuwa Jumapili asubuhi nilikuwa ninasikiliza kipindi cha redio moja na mtangazaji wa kipindi hicho wakati anaelezea mchango wake, aliingiza maneno ya kiingereza kuwa "WE WAS WRONG". na mengine mengi aliyachanganya sana. Sasa mtangazaji wa redio ya jamii anapokuwa haelewei kuongea lugha, vipi kuhusu wasikilizaji wanaomsikiliza!!
 
Kuna watu wanang'ang'ania kuongea English ili kujipambanua kuwa wasomi.Lakini English yenyewe ni vunjashingo. MFANO: Tundu Lisu aliongea Kiingereza Bungeni jana ktk mjadala wa wizara ya nje, nanukuu kingereza chake Lisu: "WE DON'T KNOW NOTHING". Note: Hiki siyo kiingereza, bali ni upuuzi. Shida ya watu walioishia Master's Degree hupenda kujionesha kuwa wana PhD.Kumbe hakuna.
"We don't know nothing" haahaaaa
Yupo sahihi, ila inategemea na maeneo aliyoongelea. Thats not official English
 
Back
Top Bottom