Watanzania tujiepushe na ndoto pia za Maalim Hassan Hussein Yahaya

Mpira wa kona

JF-Expert Member
Nov 25, 2016
350
338
Nimekuwa nafuatilia tabiri za huyu Maalim Hassan Hussein Yahaya anazozitoa Mara Kwa Mara. Tabiri zake sioni kuwa za kweli Na nimekuwa nazipinga sana. Kama kuna mtanzania mwenzangu ambaye ameziamini tabiri za huyu MKUU naomba aziweke hadharani. Binafsi naamini no ndoto za kawaida kama alivyoota Mh.Lema.
 
Back
Top Bottom