Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Mkuu, utaniumbua bure. Kaka Andrew Nyerere na Deogratius Kisandu ni wa kuwaambia hivyo tu. Hakuna namna nyingine!
Hhahahahahhahahaah
Unaposoma medicine ni lazima uwe patient maanake utakuta neno moja lina herufi thelathini.
Braza nakuelewa sanaaaa...Na ndio maana napenda bhange