Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
wananchi wanakatishwa tamaa na vyombo vya usalama sababu ata wakitoa report. vyombo vya usalama vikiendelea kupokea rushwa bado ni kazi bure.
pia nina uhakika kagame awez kuishambulia tanzania. rwanda ni ndogo sana.pia msipende kukuza mambo vita ni gharama sana na inabomoa uchumi.
kuhusu uamiaji haramu auwezi kumalizika na utazidi kuongezeka. sababu wahamiaj wanaokuja uwa na sababu zao kama tatizo la ardhi kwao. umasikin uliokubuu. njaa. usalama mdogo. etc.
pia ili agizo la kikwete alikuja muda muafaka limekuja baada ya yeye kutofautiana na kagame.
matatizo ya uhamiaji harama yalikuwepo na yalisemwa sana na serikali aikuchukua. hatua zozote adi pale kikwete na kagame walivyotofautiana.
hivo kitendo iki wanyarwanda watachukulia kama ulipizaji kisasi. na kutajengeka chuki sana. sasa hiv kumeshaanza kujengeka chuki baina ya sisi watanzania na majirani mfano mzuri ni pitia comment za apa jf utaona.
viongozi wetu wasiwagawe raia. tuviache vyombo vya usalama vifanye kazi yao.
pia nina uhakika kagame awez kuishambulia tanzania. rwanda ni ndogo sana.pia msipende kukuza mambo vita ni gharama sana na inabomoa uchumi.
kuhusu uamiaji haramu auwezi kumalizika na utazidi kuongezeka. sababu wahamiaj wanaokuja uwa na sababu zao kama tatizo la ardhi kwao. umasikin uliokubuu. njaa. usalama mdogo. etc.
pia ili agizo la kikwete alikuja muda muafaka limekuja baada ya yeye kutofautiana na kagame.
matatizo ya uhamiaji harama yalikuwepo na yalisemwa sana na serikali aikuchukua. hatua zozote adi pale kikwete na kagame walivyotofautiana.
hivo kitendo iki wanyarwanda watachukulia kama ulipizaji kisasi. na kutajengeka chuki sana. sasa hiv kumeshaanza kujengeka chuki baina ya sisi watanzania na majirani mfano mzuri ni pitia comment za apa jf utaona.
viongozi wetu wasiwagawe raia. tuviache vyombo vya usalama vifanye kazi yao.