Watanzania tuilinde nchi yetu

Watanzania tuilinde nchi yetu

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,189
Reaction score
3,548
Usalama wa nchi yetu hauwezi kulindwa na jeshi pekee, sisi wananchi ni walinzi namba moja wa nchi hii. Nasema haya kwasababu hadi sasa kuna watu wanaipenda Tanzania ile mbaya kiasi wako tayari kutoa rushwa kupata vibali vya uraia.

Sasa hivi kuna Wasomali waliojipenyeza na wanishi Temeke kama kwao, kuna Wanyarwanda ambao nina wasi wasi Kagame anaweza kuwatumia wamdhuru Mh Rais kama alivyoahidi katika video moja kuwa atamsubiria sehemu na ikiwa inafaa atampiga. Kelele za Kagame zisipuuzwe kwani kuwa na wakimbizi toka Rwanda inaweza kuwa mbinu ya kumdhuru Rais wetu. Hawa Wanyarwanda watimuliwe kwanza ndipo aina yoyote ya suluhu kati ya Kagame na JK iwepo vinginevyo ni sawa na mtu kucheza peku peku juu ya miiba, "Ngoma tamu, miiba michungu"

Aidha urejeshwe ule utaratibu wa zamani ambapo mabalozi wa nyumba kumi walikuwa na orodha za wakaaji wao nchi nzima na walihakikisha wanakuwa na orodha ya wakazi wao na hakuna raia mgeni aliingia eneo lake bila kujulikana. Turejeshe ulinzi wetu wa zamani, tuipende Tanzania.
 
Ni two way traffic!!!!!nchi kwa raia halafu raia kwa nchi
kwa nini waliacha kuipenda???
Wewe pia ulitakiwa kueleza umuhimu wa watu kuwa wazalendo na kuchukua hatua juu ya usalama wao na nchi kwa ujumla wake sio eti kwa sababu watamdhuru rais!!!!!

Nadharia ya usalama ni pana na hapa ni kama vioe unasema usalama ni pale pasipo na vurugu,vipi magonjwa,upatikanaji wa huduma muhimu,elimu na hali ya mashule kwa ujumla????!!!

Ni mwanzo mzuri lakini kila mwanzo una mwanzo wake huu mwanzo wako pia utafutie mwanzo wake!!!!!
 
tanzania imejaa watoto wengi wa haramu wa kinyaruanda ambao utawaona comment zao ni kumsifia huyu muuaji na anayetawala kwa mkono wa chuma. dunia nzima inapiga kelele na huyu shetani isipokuwa mashetani wenzie kama Museveni(Mwizi mwenzake) labda na Kenyatta. wewe mjinga mabomu ya Kagame yakirindima baba yako,mama yako na wewe hamko salama
Ni two way
traffic!!!!!nchi kwa raia halafu raia kwa nchi
kwa nini waliacha kuipenda???
Wewe pia ulitakiwa kueleza umuhimu wa watu kuwa wazalendo na kuchukua
hatua juu ya usalama wao na nchi kwa ujumla wake sio eti kwa sababu
watamdhuru rais!!!!!

Nadharia ya usalama ni pana na hapa ni kama vioe unasema usalama ni pale
pasipo na vurugu,vipi magonjwa,upatikanaji wa huduma muhimu,elimu na
hali ya mashule kwa ujumla????!!!

Ni mwanzo mzuri lakini kila mwanzo una mwanzo wake huu mwanzo wako pia
utafutie mwanzo wake!!!!!
 
Wewe bataka kagame awachape wa tz coz mnajifanya eti nyie ndio giant wa vita kisa mlipiga idd amin, ninawakikishia sasa hivi dunia iko kidigital, nakuapia tutawabuza mpaka na hicho kiges chenu mnachojiringia, ngoja tukae vizuri na malawi na wapinzani muone km ujasikia rwanda niangoza kwa kuuza ges nje na tnzanite,
 
kimsingi sisi raia tunatakiw atulinde usalama wetu kabla hata pilis na jeshi havijatulinda. tunalinda kwa kuhakikisha kwamba makazi yetu ni salama na tunaopoona mtu mgeni basi tunalazimika kuripot.

tatizo utakuta watu tunakumbatia wasomali, warundi, wanayarewanda kibao tukiona eti ni undugu ama ni dili kumbe ndo wanaoatuteka usiku na mchana humu njian na ndio wanaaongoza kwa kuharibu taifa hili kw akufoji hadi vitambulisho vyetu.
 
Wewe bataka kagame awachape wa tz coz mnajifanya eti nyie ndio giant wa vita kisa mlipiga idd amin, ninawakikishia sasa hivi dunia iko kidigital, nakuapia tutawabuza mpaka na hicho kiges chenu mnachojiringia, ngoja tukae vizuri na malawi na wapinzani muone km ujasikia rwanda niangoza kwa kuuza ges nje na tnzanite,

Kagame atuchape amhape nani??
kama hamjipendi jaribuni.
 
Wewe bataka kagame awachape wa tz coz mnajifanya eti nyie ndio giant wa vita kisa mlipiga idd amin, ninawakikishia sasa hivi dunia iko kidigital, nakuapia tutawabuza mpaka na hicho kiges chenu mnachojiringia, ngoja tukae vizuri na malawi na wapinzani muone km ujasikia rwanda niangoza kwa kuuza ges nje na tnzanite,

Kama mnaweza kupigana kwanini huko DRC kila mara hamchoki kuwataja JWTZ??? Jeshi la South Afrika na Congo hamlioni? Na huu mgogora ungekuwepo kama JWTZ wasingeenda DRC? Jeshi la Tanzania sio dhaifu kama Congo ambapo Wanajesh wenu wa Rwanda wanaingia na kutoka kama wanavyotaka. Tuna Jeshi Imara.
 
tanzania imejaa watoto wengi wa haramu wa kinyaruanda ambao utawaona comment zao ni kumsifia huyu muuaji na anayetawala kwa mkono wa chuma. dunia nzima inapiga kelele na huyu shetani isipokuwa mashetani wenzie kama Museveni(Mwizi mwenzake) labda na Kenyatta. wewe mjinga mabomu ya Kagame yakirindima baba yako,mama yako na wewe hamko salama


Mkuu ishakuwa tena mtoto wa haramu!!!???
Tena nshakuwa mjinga? ?!!

Sababu tu mawazo yangu yananituma kuwa ili kupata uzalendo wa kweli ni lazima wananchi waridhike na jinsi serikali yao inavyowatumikia???!!!!

The respect to other's subject wasnt in your milestone orientation???!!!Or rather the implication of young age negligence and poor toilet training????!!!
 
kimsingi sisi raia tunatakiw atulinde usalama wetu kabla hata pilis na jeshi havijatulinda. tunalinda kwa kuhakikisha kwamba makazi yetu ni salama na tunaopoona mtu mgeni basi tunalazimika kuripot.

tatizo utakuta watu tunakumbatia wasomali, warundi, wanayarewanda kibao tukiona eti ni undugu ama ni dili kumbe ndo wanaoatuteka usiku na mchana humu njian na ndio wanaaongoza kwa kuharibu taifa hili kw akufoji hadi vitambulisho vyetu.

Gud afternoon teeeacher!!!


Lakini historia inaonesha yote haya yalikuwepo kama nina taarifa sahihi.

Pamoja na globalization effects wapi tuliteleza mpaka watu wakapoteza uaminifu kwa nchi yao na kuanza kukumbatia wageni??? Hii haikuja overnight na haiwezi kuondoka by a mere sunrise and set epochs!!!

Tunaweza kuwa na immediate measures for the time being lakini attitude huwezi ibadili kwa muda mfupi na ghafla!!!!

Hi ni alarm tu kuwa kuna mlango haujafungwa,lakini haimaanishi ukishafungwa basi wote tuko salama ndani ya kipando!!!!




My take;Siasa imeharibu sana nchi yetu watu wako/ tuko busy na CDMvsCCM kiasi kwamba tumesahau mambo ya msingi oabisa ambayo ndio yanazaa uwepo wa vyama vya siasa.
Ni kama wawindaji waliokosana na kujeruhiana halafu mwisho wa siku wote wakaliwa na simba!!!!

Hatujachelewa sana ila tuanze kutekeleza UTAIFA KWANZA SIASA BAADAE
 
Usalama wa nchi yetu hauwezi kulindwa na jeshi pekee, sisi wananchi ni walinzi namba moja wa nchi hii. Nasema haya kwasababu hadi sasa kuna watu wanaipenda Tanzania ile mbaya kiasi wako tayari kutoa rushwa kupata vibali vya uraia. Sasa hivi kuna Wasomali waliojipenyeza na wanishi Temeke kama kwao, kuna Wanyarwanda ambao nina wasi wasi Kagame anaweza kuwatumia wamdhuru Mh Rais kama alivyoahidi katika video moja kuwa atamsubiria sehemu na ikiwa inafaa atampiga. Kelele za Kagame zisipuuzwe kwani kuwa na wakimbizi toka Rwanda inaweza kuwa mbinu ya kumdhuru Rais wetu. Hawa Wanyarwanda watimuliwe kwanza ndipo aina yoyote ya suluhu kati ya Kagame na JK iwepo vinginevyo ni sawa na mtu kucheza peku peku juu ya miiba, "Ngoma tamu, miiba michungu"

Aidha urejeshwe ule utaratibu wa zamani ambapo mabalozi wa nyumba kumi walikuwa na orodha za wakaaji wao nchi nzima na walihakikisha wanakuwa na orodha ya wakazi wao na hakuna raia mgeni aliingia eneo lake bila kujulikana. Turejeshe ulinzi wetu wa zamani, tuipende Tanzania.

tatizö nilamda mrefu hata humo serekalini wamejaa wanyarwanda mpaka usalama pia wapo.na viongoz wetu wanampenda mtu anaesapoti ccm hawana haja yakuangalia uraia bora yupo ccm.tusubiri tu tutaona
 
Kwako
Raisi Jakaya Mrisho Kikwete.
Pamoja na changamoto nyingi ulizonazo kama raisi na kiongozi wa jamuhuri ya watu wa Tanzania.
Pamoja na kuwepo katika harakati mbalimbali za kuhakikisha Tanzania na watanzania wote wanaishi kwa usalama na amani katika nchi ya Tanzania.
Kama watanzania wazalendo na wenye machungu na nchi yetu ni lazima kutimiza wajibu wetu wa kuilinda nchi yetu na kuhakikisha hakuna yoyote yule atakae kuwa na mamlaka ya kuiingilia Tanzania.
Wazee wetu na baba zetu waliweza kuzitoa roho zao katika miaka ya sabini na kuhakikisha wanailinzda ardhi ya Tanzania na kuitetea,japo wengine walibaki vilema,mayatima,wajane na wengine leo hii roho zao zimelala kaboya na wengine hawajulikani ni sehemu gani miili yao ilipopotelea kutokana tu na uzalendo wao waliokuwa nao dhidi ya nchi yetu ya Tanzania.
Walijitoa muhanga kuhakikisha kuwa mipka yetu inaheshimika.
Ndugu raisi Kikwete.
Tunakuahidi kuwa na wewe pamoja katika hali yoyote dhidi ya maadui wowote watakao jaribu kuichezea Tanzania,tunakuahidi kukupa ulinzi na kuyaheshimu mawazo na maamuzi yako pale tu maadui au watu wachache watakapo jaribu kuichezea Tanzania.
Hatutoona aibu wala haya kuchukua maamuzi magumu kama yale alochukua mwalimu nyerere na vijana wake katika kumfyeka Amini.
Ndugu raisi,tupo pamoja na wewe katika hali yoyote ile na wala usione aibu wala uoga kuisemea Tanzania
onyesha uzalendo wako,ushajaa na ujasiri wako katika kuilinda na kuiheshimu mipaka ya Tanzania.
Ahadi yetu ni kuwa nyuma yako katika kuilinzda nchi yetu.
 
Kwako
Raisi Jakaya Mrisho Kikwete.
Pamoja na changamoto nyingi ulizonazo kama raisi na kiongozi wa jamuhuri
ya watu wa Tanzania.
Pamoja na kuwepo katika harakati mbalimbali za kuhakikisha Tanzania na
watanzania wote wanaishi kwa usalama na amani katika nchi ya Tanzania.
Kama watanzania wazalendo na wenye machungu na nchi yetu ni lazima
kutimiza wajibu wetu wa kuilinda nchi yetu na kuhakikisha hakuna yoyote
yule atakae kuwa na mamlaka ya kuiingilia Tanzania.
Wazee wetu na baba zetu waliweza kuzitoa roho zao katika miaka ya sabini
na kuhakikisha wanailinzda ardhi ya Tanzania na kuitetea,japo wengine
walibaki vilema,mayatima,wajane na wengine leo hii roho zao zimelala
kaboya na wengine hawajulikani ni sehemu gani miili yao ilipopotelea
kutokana tu na uzalendo wao waliokuwa nao dhidi ya nchi yetu ya
Tanzania.
Walijitoa muhanga kuhakikisha kuwa mipka yetu inaheshimika.
Ndugu raisi Kikwete.
Tunakuahidi kuwa na wewe pamoja katika hali yoyote dhidi ya maadui
wowote watakao jaribu kuichezea Tanzania,tunakuahidi kukupa ulinzi na
kuyaheshimu mawazo na maamuzi yako pale tu maadui au watu wachache
watakapo jaribu kuichezea Tanzania.
Hatutoona aibu wala haya kuchukua maamuzi magumu kama yale alochukua
mwalimu nyerere na vijana wake katika kumfyeka Amini.
Ndugu raisi,tupo pamoja na wewe katika hali yoyote ile na wala usione
aibu wala uoga kuisemea Tanzania
onyesha uzalendo wako,ushajaa na ujasiri wako katika kuilinda na
kuiheshimu mipaka ya Tanzania.
Ahadi yetu ni kuwa nyuma yako katika kuilinzda nchi yetu.

pamoja sana. mimi nipo pamoja Mheshimiwa Rais na watanzania wote wapenda amani
 
Uzalendo unaanzia nyumbani, walicho mfanyia mwangosi ni kuonesha uzalendo, tunafaidika nini na cnhi yetu kama siyo kupigwa mabomu na risasii tunapo fika kwenye mikutano ya kichama. hii nchi imechangenyikiwa ni hii yote ni matokeo ya damu isiyo na kosa inayo mwagika kwa kuogopa kuondoshwa madarakani. Mungu wahurumie watu hawa whawajui watendalo
 
Who are you? Usije ukamwacha mwenzio njia panda baada ya hayo unayoyaita mahamuzi magumu. By the way moto wote huo wa nini! War is war after the decision of wisemen with justifable reasons. Hatutaki mihemmko itakayorigharimu taifa rasrimali za vizazi ambavyohavijazaliwa huko tulizonazo kizazi hiki hazitutoshi.
 
eeeeeee mubgu muhurumie mtu huyu kwani hajui atendalo walo aliwazalo,wakati wengine tukizungumzia Tanzania na jinsi ya kuilinda nchi yetu dhidi ya maadui wanaoitamani Tanzania yeye anakuwa wa kwanza kutupinga.
Eeeeeeee mungu mpe maarifa mtu huyu kwani kasahau hata enzi ya nyerere wako watanzania walojitolea kuipigania nchi yetu licha ya kukutana na mabaya katika utawala huo.
Eeeeeee mwenyezi mungu mpe akili na maarifa mtu huyu na kutambua kuwa ardhi na mipka ya Tanzania ni muhimu kuliko kitu chochote kile.
Aaaamen
 
gud afternoon teeeacher!!!


Lakini historia inaonesha yote haya yalikuwepo kama nina taarifa sahihi.

Pamoja na globalization effects wapi tuliteleza mpaka watu wakapoteza uaminifu kwa nchi yao na kuanza kukumbatia wageni??? Hii haikuja overnight na haiwezi kuondoka by a mere sunrise and set epochs!!!

Tunaweza kuwa na immediate measures for the time being lakini attitude huwezi ibadili kwa muda mfupi na ghafla!!!!

Hi ni alarm tu kuwa kuna mlango haujafungwa,lakini haimaanishi ukishafungwa basi wote tuko salama ndani ya kipando!!!!




My take;siasa imeharibu sana nchi yetu watu wako/ tuko busy na cdmvsccm kiasi kwamba tumesahau mambo ya msingi oabisa ambayo ndio yanazaa uwepo wa vyama vya siasa.
Ni kama wawindaji waliokosana na kujeruhiana halafu mwisho wa siku wote wakaliwa na simba!!!!

Hatujachelewa sana ila tuanze kutekeleza utaifa kwanza siasa baadae

good afternoon brodah!!!!!!!!!
U have said it correct dude................kwakuongezea tu hapo yatupasa sote kama raia wa nchi hii tuweke chini siasa tutangulize utaifa wetu mbele.
 
Usalama wa nchi yetu hauwezi kulindwa na jeshi pekee, sisi wananchi ni walinzi namba moja wa nchi hii. Nasema haya kwasababu hadi sasa kuna watu wanaipenda Tanzania ile mbaya kiasi wako tayari kutoa rushwa kupata vibali vya uraia.

Sasa hivi kuna Wasomali waliojipenyeza na wanishi Temeke kama kwao, kuna Wanyarwanda ambao nina wasi wasi Kagame anaweza kuwatumia wamdhuru Mh Rais kama alivyoahidi katika video moja kuwa atamsubiria sehemu na ikiwa inafaa atampiga. Kelele za Kagame zisipuuzwe kwani kuwa na wakimbizi toka Rwanda inaweza kuwa mbinu ya kumdhuru Rais wetu. Hawa Wanyarwanda watimuliwe kwanza ndipo aina yoyote ya suluhu kati ya Kagame na JK iwepo vinginevyo ni sawa na mtu kucheza peku peku juu ya miiba, "Ngoma tamu, miiba michungu"

Aidha urejeshwe ule utaratibu wa zamani ambapo mabalozi wa nyumba kumi walikuwa na orodha za wakaaji wao nchi nzima na walihakikisha wanakuwa na orodha ya wakazi wao na hakuna raia mgeni aliingia eneo lake bila kujulikana. Turejeshe ulinzi wetu wa zamani, tuipende Tanzania.

Umesema kweli, utaratibu wetu wa zamani unafaa kurejeshwa! Wageni tunawafahamu!
Tusisubiri nchi itufanyie kwanza! Huu ndio uzalendo! Humu ndani kuna watu hawataki kusikia haya kwa kuwa wao ndio wahusika namba moja!
 
good afternoon brodah!!!!!!!!!
U have said it correct dude................kwakuongezea tu hapo yatupasa sote kama raia wa nchi hii tuweke chini siasa tutangulize utaifa wetu mbele.

Love and respect my sissie kuna mtaa kule young sissie Lara 1 katupa mawe hebu katie neno!!!!
 
Tanzania kwanza siasa baadae,

kutofautiana kisiasa sio kutofautiana kiulinzi bado tuko pamola sana linapokuja suala la ulinzi wa mama yetu tanzania,hatuko tayari mtu atumie upinzani wa kisiasa kuleta machafuko nchini kwetu,bado hatujagawanyika kiasi hicho

anefikiria tumegawanyika ajaribu aone tulivyo wamoja zaidi ya siafu
 
Back
Top Bottom