BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Hakuna uchaguzi usio na vimbwangaMtaweweseka sana vichaaa nyinyi, anzeni kukusanya virago mapema, serikali mpya ya kamanda Tundu Lissu haicheki na kima wa Kijani
Hakuna uchaguzi usio na vimbwangaMtaweweseka sana vichaaa nyinyi, anzeni kukusanya virago mapema, serikali mpya ya kamanda Tundu Lissu haicheki na kima wa Kijani
Mnawaumiza watanzania halafu mnasema siyo wazarendo eti nyie ndiyo wazarendo nambari mojaHao wasiojulikana ndio mada husika? Na wanahusika vipi mtu kupanda jukwaani na magongo ili mtu aonewe huruma wakati si mzalendo na hafai kuwa kiongozi.
Hata wewe Unadharaulika Mkuu ila Sio na watu wote, Wapo wanaokuheshimu na wapo wanaokukubali; Ku-generalize watanzania wote kwa hisia zako inakuwa Hujatenda haki; Maana watanzania wote sio wewe.Hivi kwa namna ambavyo Tundu Lissu anavyodharaulika kwa watanzania kwa kutokuwa mzalendo na mtu wa kujipendekeza kwa mbeberu mnategemea apigiwe kura za huruma? Kisa alishambuliwa!
Watanzania 98% wana akili timamu,wanajua nani ni kiongozi mzalendo anayelifaa taifa letu, hao ndio ninawazunguzia.Sijui ni wanzania wapi unawaongelea? Ila watanzania ninao wafaham mimi kura wayapiga kwa chama chochote wanachokipenda maana wako huru kisheria.
Wstampigia au lah hiyo ni kazi ya wananchi. Si matakwa yako
Kuwa na akili ni kitu kingine. Kufanya maamuzi ni kitu kingine.Watanzania 98% wana akili timamu,wanajua nani ni kiongozi mzalendo anayelifaa taifa letu, hao ndio ninawazunguzia.
Kura yangu ni Siri lkn siwapi ChademaMimi na família yangu yote kura kwa chadema.
Mtu mwenye akili timamu hufanya maamuzi sahihiKuwa na akili ni kitu kingine. Kufanya maamuzi ni kitu kingine.
Subiri kampeni zianze utapata picha kamili.Hata wewe Unadharaulika Mkuu ila Sio na watu wote, Wapo wanaokuheshimu na wapo wanaokukubali; Ku-generalize watanzania wote kwa hisia zako inakuwa Hujatenda haki; Maana watanzania wote sio wewe.
Hivyo Usipate Shida Hakuna Katika Ulimwengu Huu anaweza kukubalika na Kila Mtu; By the way GOD almighty kuna watu wanampinga Sembuse human being.
Warioba Mashaka,
St. George, Bermuda
Last Election tu tayari inaonyesha kwamba Hata Magu hakukubalika na watanzania zaidi ya Milioni 5;Subiri kampeni zianze utapata picha kamili.
Mifano mfu na ya kipumbavu! JPM wa 2015 ni sawa na 2020. Hujui kuwa perfomance aliyoionyesha imemfanya kukubalika kwa 100%.Last Election tu tayari inaonyesha kwamba Hata Magu hakukubalika na watanzania zaidi ya Milioni 5;
My Concern ni kwamba wewe umegeneralize kama vile wewe ni muwakilishi wa watu wote kwenye kuwakubali na kuwaheshimu watu; Kitu ambacho sio kweli.
Kila mtu anatofautiana kiwango cha kukubalika na watu wengine; Mfano hata wewe ukisimama na Magu Kiwango chako cha kukubalika ni kidogo, compared to Magu na Majaliwa, Au Magu na Lisu.
Warioba Mashaka,
St. George, Bermuda
Tatizo Brother wewe una Jazba tu ndugu yangu, Kuweka maneno eti Upumbavu ni kutokuelewa na kukosa hoja za kuelekezana kwa ustaarabu; Hujaelewa Concern yangu; No matter what JPM Hawezi Kukubalika na watu wote; Kusema Asilimia 100% hapo utakuwa umeongea kihisia; Chaguzi zote toka Mfumo wa Multiparty System uanze hakuna Mgombea aliyewahi kushinda kwa 100% hiyo unayoisema. Hivyo ni vizuri ukaongea na vitu fact Kusema Anakubalika kwa Asilimia baada ya Perfomance nadhani hata wewe unashangaa;Mifano mfu na ya kipumbavu!
Subiri utapata majibu kama hakubaliki kwa 100%. Na lack of common sense= upumbavu. Jaribu kudadavua mambo kwa kutumia akili. 2015 sio 2020 ambapo Chadema wamegawana ruzuku na kunywea konyagi na kuvuta bangi.Tatizo Brother wewe una Jazba tu ndugu yangu, Kuweka maneno eti Upumbavu ni kutokuelewa na kukosa hoja za kuelekezana kwa ustaarabu; Hujaelewa Concern yangu; No matter what JPM Hawezi Kukubalika na watu wote; Kusema Asilimia 100% hapo utakuwa umeongea kihisia; Chaguzi zote toka Mfumo wa Multiparty System uanze hakuna Mgombea aliyewahi kushinda kwa 100% hiyo unayoisema. Hivyo ni vizuri ukaongea na vitu fact Kusema Anakubalika kwa Asilimia baada ya Perfomance nadhani hata wewe unashangaa;
Kukubalika kwa 100%?? Unaelewa maana ya 100%?? Yaan kama ni kura basi wapiga kura wote wawe wamemkubali, unahisi hiyo kitu inawezekana??
Warioba Mashaka
St. George, Bermuda
Anyway it ok; Umeonyesha Huna uelewa na maana ya 100% na Hujui Implication yake ni nini?Subiri utapata majibu kama hakubaliki kwa 100%
HakunaKijana ukiweka kando ukabila na udini uliotangazwa na gwajima ni nani kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm?!?!.......zingatia zile factors...(economic, social and political factors)......
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Maswali gani haya ya kitoto?Umeingia kwenye mioyo ya watanzania wakakwambia hivyo.
Hata wachawi wa ccm kina Dr majini na maaskofu watapeli km gwajima wamekataliwa kuonesha ccm haitakubalika na kila mtz.....Hakuna anayeweza kuipigia kura ccm