Watanzania, Ni vigumu Kumsahau Lowassa

Watanzania, Ni vigumu Kumsahau Lowassa

ocampo halipwi vipi huko kwenu mnalipwa? Dada chatanda
Mkuu jakibinda inasemekana dada Chatanda kahama kambi na kukimbilia kwa PM? nasikia wanalalamika Membe hapokei simu zao kabisa.....hahahahaha chezea mtama wewe na hapo ajakamata ikulu, pole sana ila iwe funzo kwao kamwe usimpe mtu anayejisikia kama Membe madaraka .....Membe alisema anapokea simu za JK, Mama salma, Riz na Nyalandu sasa mimi masikini kama Ocampo four hata kumsalimia ataisi nanchafua mikono
 
akina Mary chatanda na musiba mjita mwenye njaa kuliko wote pale mwibara
Kabla 2005 Musiba alikuwa mwandishi wa habari, pamoja kuwa mbeba mabegi wa riz one bado ajatoka kimaisha kwa miaka kumi......hii inathibitisha ile kauli ya Benno kuwa ukiwa karibu na Riz one uwezi kutoka anapenda tu uwe unambebea mabegi na kupokea simu zake, na kumfulia soksi.......na ndiyo kazi ya Musiba kumfulia Rizone Soksi
 
WE jamaa unachekesha sana unafikiri hatuwajui humu ndani, wewe, Hot lady, Galiya, Chambruma wote munatumia hizo account, sasa unajifanya kama unampa credit kumbe unajipa mwenyewe...poor you
Hahahahahaaaaaaa! Kwani wewe, laki si pesa, minyoo na funza ni mtu mmoja?
 
huyo Nyalandu nmesoma gazeti la jamuhuri anakula bata na Anty ezekiel membe amevunja ndoa shusho yule muhimbaji
 
Mkuu jakibinda inasemekana dada Chatanda kahama kambi na kukimbilia kwa PM? nasikia wanalalamika Membe hapokei simu zao kabisa.....hahahahaha chezea mtama wewe na hapo ajakamata ikulu, pole sana ila iwe funzo kwao kamwe usimpe mtu anayejisikia kama Membe madaraka .....Membe alisema anapokea simu za JK, Mama salma, Riz na Nyalandu sasa mimi masikini kama Ocampo four hata kumsalimia ataisi nanchafua mikono
Naona unajifariji mwenyewe. Pole sana ukoo wa fisadi Lowasa
 
Kaka, hawa jamaa ndo wanalipwa na Lowasa kumsafisha humu jf
Unafikiri kila mtu analipwa, Lowassa kagusa mioyo ya Watanzania, Lowassa anagusa mioyo ya wafugaji, Lowassa anagusa mioyo ya watafuta ajira, Lowassa anagusa mioyo ya waendesha bodaboda, Lowassa anagusa mioyo ya wakulima, Lowassa anagusa mioyo ya wanafunzi wanaoitaji mkopo, Lowassa anagusa mioyo ya wamachinga, Lowassa anagusa mioyo ya wafanyakazi wenye hulka katika utendaji bora.....Je Membe anagusa mioyo ya watu gani?
 
Naona unajifariji mwenyewe. Pole sana ukoo wa fisadi Lowasa
Hhahahahahaa Mkuu Chatanda kumbe bado uko kwa mzee wa mtama? jamaa yenu hauziki sasa munafanyaje? what are your strategies?
 
Kwa nini unamsemea mwenzako? Kwani wewe ni Ocampo four? Au mnafahamiana?
Hao ni watu wanaoamini katika Maamuzi Magumu, wanao amini katika Kusema na Kutenda, wanao amini katika uwajibikaji, wanao amini katika ufuatiliaji mkuu
 
Kwa ushindani wa kisiasa ndani ya CCM ya leo hakuna wa kumshindaa LOWASA.
Ila wakitumia mizengwe na mbinu zao za kukomoanaa basi upinzani kwa Lowasa utakuwa mkubwa.
Hakika mpaka sasa LOWASA anawasumbuaa sana wapinzaniaa wake kisiasa ndani ya CCM.
 
Unafikiri kila mtu analipwa, Lowassa kagusa mioyo ya Watanzania, Lowassa anagusa mioyo ya wafugaji, Lowassa anagusa mioyo ya watafuta ajira, Lowassa anagusa mioyo ya waendesha bodaboda, Lowassa awakulima, Lowassa anagusa mioyo ya wanafunzi wanaoitaji mkopo, Lowassa anagusa mioyo ya wamachinga, Lowassa anagusa mioyo ya wafanyakazi wenye hulka katika utendaji bora.....Je Membe anagusa mioyo ya watu gani?
membe anagusa akina shusho amewaachia akina lizaboni kazi wapige domo
 
Hivi ni kweli Membe anatamanii kugombeaa Uraisi ndani ya CCM??
Taifa hili limeporomoka sana katika medani za kidiplomasia chini ya uongozi wa Membe kama Waziri wa Mambo ya Nje!!!!!
 
Kwa ushindani wa kisiasa ndani ya CCM ya leo hakuna wa kumshindaa LOWASA.
Ila wakitumia mizengwe na mbinu zao za kukomoanaa basi upinzani kwa Lowasa utakuwa mkubwa.bambie baelewe baba
Hakika mpaka sasa LOWASA anawasumbuaa sana wapinzaniaa wake kisiasa ndani ya CCM.
bambie bambie baelewe baba kuwa Lowasa ni chuma cha reli
 
huyo Nyalandu nmesoma gazeti la jamuhuri anakula bata na Anty ezekiel membe amevunja ndoa shusho yule muhimbaji
Hhahahahahaha Nyalandu sii nasikia mpaka abustiwe kidogo, Aunt Ezekile ni mshikaji wangu sana lazima ataniambia ukweli kuhusu hili la kubustiwa, i promise jioni kupata uthibitisho kutoka kwa Aunty.......Membe kuvunja ndoa ya mtumishi wa Mungu ni dhambi isiyosameheka milele........imeandika usijaribu kuvunja ndoa ya jirani yako kitabu cha Mathayo....
 
Haha Lizaboni anaweweseka..
ocampo four umesahau Barabara ya Shekilango..

kwi kwi kwii..EL kawashika pabaya..h
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kweli Membe anatamanii kugombeaa Uraisi ndani ya CCM??
Taifa hili limeporomoka sana katika medani za kidiplomasia chini ya uongozi wa Membe kama Waziri wa Mambo ya Nje!!!!!
kwetu kule kirongwe,bubombi sota na shirati hakuna mtu anaemfahamu membe ila gusa jina
la Lowasa utaskia rais ajae
 
Hivi ni kweli Membe anatamanii kugombeaa Uraisi ndani ya CCM??
Taifa hili limeporomoka sana katika medani za kidiplomasia chini ya uongozi wa Membe kama Waziri wa Mambo ya Nje!!!!!
Asante mkuu......mtu mwenyewe hauziki, hana nguvu ndani ya chama na kwa wananchi, yupoo yupo tu kama zoba, yaani wananchi kamwe hatuwezi kukubali huu upuuzi wa kutawaliwa na mtu asiye na uwezo kabisa......Membe akipitishwa na chama, naiona ileeeeeee ufipa kutoa rais ajaye na siyo mwingine bali Dr. Slaaa
 
Haha Lizaboni anaweweseka..
ocampo four umesahau Barabara ya Shekilango..

kwi kwi kwii..EL kawashika pabaya..h


Asante mkuu kwa kunikumbusha.......Lowassa alivyofoka mpaka Makamba akasema mheshimiwa ukiona mtu mzima amekaa kimya ujue amekubali kosa hivyo tusamehe....
 
  • Thanks
Reactions: prs
na jengo la changombe village alikatisha ziara arusha mkurungenzi aliona cha moto Lowasa ni mtendaji tunaye muitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom