senkoP
Senior Member
- Aug 28, 2017
- 160
- 173
Jamani mimi huwa nashangaa sana mara nyingi nikiingia kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook WhatsApp na Twitter utakuta mtu kaandika mambo ya ajabu ajabu tena matusi yaani utakuta like kibao na comments zaidi ya 5mil.
Lakini tena utakuta mtu kaandika mambo muhimu labda ya kuelimisha jamii jambo flan either inshu za malezi, Kilimo bora, ufugaji au mambo ya ujasiriamali, au mambo ya dini yaani utakuta like moja ama comments 1, hili jambo huwa linanishangaza sana kwa mfano kuna kapage flani kanaitwa HELLO TZ kwakweli mambo yanayo postiwa kule na watu wanavyoshabikia utadhani ni mambo ya maana.
Kwakweli naona tumekosa maadili sisi kama Watanzania baada ya kuchangia mambo ya msingi ambayo yanafundisha jamii lakini tumepotoka......sijui nani katuroga!
Lakini tena utakuta mtu kaandika mambo muhimu labda ya kuelimisha jamii jambo flan either inshu za malezi, Kilimo bora, ufugaji au mambo ya ujasiriamali, au mambo ya dini yaani utakuta like moja ama comments 1, hili jambo huwa linanishangaza sana kwa mfano kuna kapage flani kanaitwa HELLO TZ kwakweli mambo yanayo postiwa kule na watu wanavyoshabikia utadhani ni mambo ya maana.
Kwakweli naona tumekosa maadili sisi kama Watanzania baada ya kuchangia mambo ya msingi ambayo yanafundisha jamii lakini tumepotoka......sijui nani katuroga!