Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
mbona mi nipo form kadhaa lakini namiliki nokia 5800xpressmusic touch screen,ila naitumia effectively na mimi nilaumiwe kwa umiliki huo,halafu kumiliki sm ya gharama inategemea na status ya m2 mwenyewe.but kwa utafiti wangu watu walio na kipato cha chini ndo wanaomiliki simu za gharama au na danganya?