Watanzania na ndoto za ailinacha

ndeambase

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
626
312
Kwenye kampeni yanatolewa maneno matamu sana na ahadi lukuki mfano hii ya kugawa milioni hamsini kila kijiji nchi nzima Leo hii naona kwenye machapishi kwamba haiwezekani tena kugawa hizo hela kila kijiji kwani vijiji vina Rasilimali za kutosha.

Je wakati wa kampeni mlivyoahidi hamkuziona hizo Rasilimali hata mkaahidi hayo mabilioni.? Watanzania nionavyo Mimi muwe na Akili za kujitafakari jambo kabla ya kutenda.mfano wewe ni mtumishi wa umma au wa kampuni mkuu wako anakuletea fomu au karatasi yenye maandishi anakwambia saini hapa we unasaini tu bila kujiuliza na kutafakari Kwa nini akaniambia nisaini bila kuuliza nasaini nini?

Hili ni fundisho kila wakati wa kampeni tunashangilia tu bila kujitambua
 
Kwenye kampeni yanatolewa maneno matamu sana na ahadi lukuki mfano hii ya kugawa milioni hamsini kila kijiji nchi nzima Leo hii naona kwenye machapishi kwamba haiwezekani tena kugawa hizo hela kila kijiji kwani vijiji vina Rasilimali za kutosha .Je wakati wa kampeni mlivyoahidi hamkuziona hizo Rasilimali hata mkaahidi hayo mabilioni.? Watanzania nionavyo Mimi muwe na Akili za kujitafakari jambo kabla ya kutenda.mfano wewe ni mtumishi wa umma au wa kampuni mkuu wako anakuletea fomu au karatasi yenye maandishi anakwambia saini hapa we unasaini tu bila kujiuliza na kutafakari Kwa nini akaniambia nisaini bila kuuliza nasaini nini? Hili ni fundisho kila wakati wa kampeni tunashangilia tu bila kujitambua
hakika wewe ni mchochezi.huwez kumpinga mkuu wa nchi au kumkosoa.he is appointed by God!!
 
Kwani wakati ahadi inatolewa hawakujua kuwa vijiji vina rasilimali za kutosha?

Zile laptop kwa kila mwalimu ziliishia wapi?
 
Back
Top Bottom