Watanzania na kupinga vitu vipya bila elimu yake

mtu yeyote mwenye akili zake lazima atilie mashaka kitu kipya, labda sisiem tu ndo wanafuata mkumbo
Hizo chanjo hata wazungu wenyewe wana mashaka nazo

Mtu mwenye akili akiona kitu kipya anatafuta maarifa juu ya hicho kitu kuona kama kipo sahihi au lah ndio atoe maoni sio kwenda kutoa maoni wakati hata maarifa juu ya hicho kitu hana
 
Tuwekee hapa mfano wa mtaalam utuamishe kuwa wataalam mpo nchi hii, kama prof. anaweza kujitambulisha kuwa ameokotwa jalalani!!!
hivi aliyesoma zaidi ya profesa anaitwa nani vile?

Wakati mwingine mtengeneze magroup ya kuwa mnakanyana af ndo mje kutwambia tuheshimu taaluma.
Magu alilianzisha la kukagua vyeti mbona wapo waadhiri wa vyuo walioondoka kwa miguu bila hata kusubiri barua za kufukuzwa?
kwa ufupi msituchanganyeee,tumewachoka.

Nchi inapiga kwata pale pale sababu ya eti wataalamu.
Kila siku mnaibuka na misemo(MKUKUTA,MKURABITA,MCHAKATO,UPEMBUZI YAKINIFU...).:rolleyes:) Hivi hamuoni aibu kujiita wenye taaluma?
Alipokuja magu akaondoa misemo angalia yaliyofanyika nchini

I believe huend hospital kuona jinsi unavyotibiwa na watu wenye taaluma zao
Au huend kwa mafundi vyombo vya moto kutendenezewa chombo chako kwa taaluma zao
 
Lakini hizo pinga pinga unazosema hazikuwepo kihivyo mkuu. Mfano mzuri ni daladala zilizokua na video ziliiua zinajaza mapema kuliko zisizokua na video. Hivyo raia walikua na hamu ya video kuliko kupinga zitawaharibu macho
Ile massive usage of Tv mpaka kwa watu wa kawaida imetokea mwishon mwa 90s na mwanzon mwa 00s
 
I believe huend hospital kuona jinsi unavyotibiwa na watu wenye taaluma zao
Au huend kwa mafundi vyombo vya moto kutendenezewa chombo chako kwa taaluma zao
Unajuaje kama na mimi ni mmojawapo wa hao uliowataja?
Naonaga aibu sana ninapoona wanataaluma wanadharilisha taaluma zao af wanataka waheshimiwe?
unataka kuniambia wanaotoa mimba mitaani ni mbumbumbu? kama sio je / hao wanaofanya ndo maadili ya taaluma zao?
kama ulisomea kuponya uhai,na sasa unasaidia kuharibu uhai nani atakuamini tena? ndo maana nasema jitafakarini
 
Hiyo hali. Yote imechagizwa na siasa za mrengo wa kushoto wa ccm .karibia nchi ZOTE zenye siasa za itikadi ki communist wananchi wanakuwa wanalishwa propaganda chafu sana kuhusu u magharibi.
 
Back
Top Bottom