Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,941
- 7,935
- Thread starter
- #21
mtu yeyote mwenye akili zake lazima atilie mashaka kitu kipya, labda sisiem tu ndo wanafuata mkumbo
Hizo chanjo hata wazungu wenyewe wana mashaka nazo
Mtu mwenye akili akiona kitu kipya anatafuta maarifa juu ya hicho kitu kuona kama kipo sahihi au lah ndio atoe maoni sio kwenda kutoa maoni wakati hata maarifa juu ya hicho kitu hana