VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,162
Ipo misemo madaraka hulevya, ni kweli tunashuhudia inatokea.
Nimeguswa na Sehemu ujumbe Balozi wa Uingereza nchini David Conker Tweeter ." .... Nimerejea baada ya likizo yangu ....kurejea kuimarisha mahusiano ya nchi zetu miongoni mwa vipaumbele vyake ... biashara, uwekezaji,elimu.... Pia kufatilia Shauri la Freeman Mbowe.
Nimeguswa na Sehemu ujumbe Balozi wa Uingereza nchini David Conker Tweeter ." .... Nimerejea baada ya likizo yangu ....kurejea kuimarisha mahusiano ya nchi zetu miongoni mwa vipaumbele vyake ... biashara, uwekezaji,elimu.... Pia kufatilia Shauri la Freeman Mbowe.