CCM ipo juu, hata wabishi hilo mnalijua! Haikurupuki ktk maamuzi!
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!
Sawa lakini tuna lakujifunza kutoka kwa hao wenzetu, maana wapinzani wanapokuwa wanalilia kuondoa chama tawala wana mbwembwe nyingi kweli, lakini wakipta tu madaraka wanaingia kwenye uhalisia wa uongozi na hapo ndipo utakapo shuhudia urafi na ukorofi wao.
Mtoboasiri, sikiliza! Ukilinganisha upiznani wa hizo nchi ni stable, hwezi kulinganisha na upinzani wa TZ ambao wamejaa njaa (mfano David Kafulila alikuwa na haja gani ya kupiga magoti na kulia ili asamehewe?) na CHADEMA ni chama kilicho jaa migogoro ya hapa na pale, labda kikiundwa chama kingine chenye mlengo na dhamira ya dhati ya kusikiliza matatizo ya watanzania walio wengi na kisiwe na migogoro
Kwa Afrika ni nadra upinzani kuleta maendeleo. Mfano halisi angalia Kenya ambapo hao raia waliouweka upinzani madarakani uliwasbabishia matatizo makubwa na hatimaye umefikia hatua ya kuwafukuza wafanya kazi wa sekta ya afya. Hii haikubaliki, mfano tizama jinsi chama cha mapinduzi kinavyo fanya mambo kwa kufuata sheria na ni chama kivumilivu. Nasaha zangu, watanzania msibabaishwe na vyama vya upinzani. Tujenge nchi na CCM!!
Duh! sawa bwana, Ila ukweli ndiyo huo, sina haja ya kukuelewesha zaidi ya hapo, CDM ni wababe na wamekaa kishari shari, mfano zitto mara wagombane na mwenyekiti mara na Dr Slaa, mara watofautiane na kuweka hadharani migogoro yao, ina maana wakipewa nchi itakuwa kama kenya, Mwakibaki a.k.a Dr Slaa anaweza kung'ang'ania madaraka na zitto a.k.a Raila anaweza kutaka kuwa rais, na ndipo utakapoona nchi haiwezai kusonga mbele