Ndugu Watanzania hasa waislamu, napenda kuwashauri sana MSIDANGANYIKE na upepo unaovuma sasa wa Dini:
1. Mara Uamsho wa Kiislamu
2. Mara waislamu kugomea Sensa
3. Mara waislamu wanaonewa
4. Mara Amiri Mkuu wa Waislamu
5. Na mengine mengiiii....
Nawashauri watanzania Muwe makini, msidanganyike kwani hamtapata faida yeyote (Personaly) na hat familia zenu.
Bora mjipange kwa kupinga Ufisadi na Msuport MAENDELEO ya NCHI.
1. Mara Uamsho wa Kiislamu
2. Mara waislamu kugomea Sensa
3. Mara waislamu wanaonewa
4. Mara Amiri Mkuu wa Waislamu
5. Na mengine mengiiii....
Nawashauri watanzania Muwe makini, msidanganyike kwani hamtapata faida yeyote (Personaly) na hat familia zenu.
Bora mjipange kwa kupinga Ufisadi na Msuport MAENDELEO ya NCHI.