capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
Binafsi si mchangiaji sana hapa JF cuz most of your posts sio maisha ya ulimwengu huu kidogo twitter ina reflect life lkn hapa JF .. bla bla bla nothing serious. Huwa nafurahia sana ku- socialise na watu wa nje kuliko watu hapa Tz. Kama nakosea samahani sana ila nayasema tu kwa nia nzuri. Zungumzia U - Great thinker utabaki kwa MAX na crew yake, kidogo Biashara uchumi na ujasiriamali alikuepo Ontario wengine wooote, kwekweli ni HAMNA KITU!
Nikifikiria kuhusu hapa nyumbani styl ya maisha mlionayo kwa ujumla hua nachoka, wakati mwingine nakosa usingizi kabisaa .. tunajivunie nini TZ? Yan ni AIBU (kitu sipendi maisha yangu yote). Entertainment hakuna, Siasa safi hakuna, Uadilifu zero, Uchapakazi hakuna, Time management zero! Yani ni changamoto!! You are not existing in reality, You are not existing in this world'S life.
Franky, nmeishi na kufanya kazi na Nigerians, Rwandese na kadharika huko nje, And am not sorry to say I envy these Ppl.
Eti kwani Watz mnajionaJE??

