Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Ndiyo kawaida ya Watanzania kuacha mambo ya msingi na kujikita kwenye kujadili petty issues.Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Kuna mengi sana ya muhimu ya kujadiliwa, lakini Watz wako busy na video ya mama J, na sasa wamehamia kwenye kauli ya Ndugai kuhusu Yesu.
Huu ni udhaifu wa Watanzania na ndiyo mtaji wa Serikali ya CCM. Kwa akili hizi za Watz, CCM itatawala mpaka siku atakaporudi Messiah.