Watanzania mmerogwa na nani? Badala ya kujadili hoja za Kamati ya Maadili ya Bunge nyie mnamjadili Spika Ndugai na Yesu

Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.
Ndiyo kawaida ya Watanzania kuacha mambo ya msingi na kujikita kwenye kujadili petty issues.

Kuna mengi sana ya muhimu ya kujadiliwa, lakini Watz wako busy na video ya mama J, na sasa wamehamia kwenye kauli ya Ndugai kuhusu Yesu.

Huu ni udhaifu wa Watanzania na ndiyo mtaji wa Serikali ya CCM. Kwa akili hizi za Watz, CCM itatawala mpaka siku atakaporudi Messiah.
 
Kuna moja aliijita kiongozi wa malaika, kiongozi wa malaika akamshughulikia
Tusubiri Ndugai nae ashughulikiwe
 
Kiukweli watanzania kama taifa bado tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotarajia kufika.

Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.

Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.

Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.

Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.
Mkuu mbona wao waliacha kujadili makosa ya mashahidi wao wakaanza kuwashambulia kwa personal issues? Wacha nayeye ajadiliwe alikuwa na sababu gani ya kusema hayo?
 
Kiukweli Watanzania kama taifa bado tuna safari ndefu sana kufika kule tunakotarajia kufika.

Jana mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge mh Mwakasuka na wajumbe wa kamati wametumia takribani saa 3 kuelezea utovu wa nidhamu uliofanywa na wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima.

Kwa bahati mbaya wakati wa kuhitimisha Spika aliteleza ulimi kwa sentensi ya sekunde moja tu.

Cha ajabu watanzania hawa wameachana kabisa na hoja za kamati na badala yake wamemshupalia Spika Ndugai.

Wananchi tubadilike tuwe wazalendo.
Kamati ya maadili inakusaidia nini
 
Back
Top Bottom