KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Yumkini taarifa ya Gazeti imekosewa au utafiti unatia mashakaUkikubali kudanganywa na wasomi uchwara kama hawa basi kichwani utakuwa una matatizo.
Yumkini taarifa ya Gazeti imekosewa au utafiti unatia mashakaUkikubali kudanganywa na wasomi uchwara kama hawa basi kichwani utakuwa una matatizo.
Tazama hivi. kuwe na viwango, zisindikwe vizuri kiasili, tuache kuziitaajina mabaya lkama mataputapu, tuziite majina yake matamu kama komoni, kangala mbege lubisi nk nadhani zisingeitaji afisa masoko hizi wala promo wanataka kusifia zao hao hawana lolote kweni hata hizo zao zinaadhara ndio maana zina maonyo ya umri wa mtiaji +18, kunywa kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.Sio mataputapu ni pombe za asili, waache dharau.
Na asilimia kubwa ya wanywaji wa bia ndio hao hao wanywaji wa pombe za asili.
Hii ndio labda naweza kuiamini lakini kwamba eti hiyo asilimia kwa watanzania wote basi na watoto ndani ( japo kwa wataniwangu wa a=kabila Fulani wanawapa watoto wanachapa usingizi wao wanaendelea na kazi. Pamoja na hayo angalau takwimu uliyoileta angalau inaweza kuamninika.Nadhani alimaanisha kuwa 87% ya wanaokunywa pombe wanakunywa mataputapu,ina maana asilimia 13 tu ndio wanakunywa pombe za viwandani.
Ni utafiti wa hovyo kuwahi kutokea duniani...yaani watanzania mil 5.3 ndo ndani yake wapo wanywa pombe safi, wasiokunywa kbs na watoto wadogo!nina mashaka na watafiti na uwezo wao wa kutumia asilimia....!Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni, Milioni 39.06 kati ya Milioni 44.9 ya watanzania wanakunywa pombe!??. Mbona idadi inatisha mno?