Gut
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 2,852
- 3,404
Tafiti nyingine majanga mkuu.Yani inamaana watu million 39 wanakunywa pombe au me ndio sijaelewa..!?
Tafiti nyingine majanga mkuu.Yani inamaana watu million 39 wanakunywa pombe au me ndio sijaelewa..!?
kwa hiyo tufanyaje?...hivi yale mabasi yenu ya wafuga majini bado unayapa promo?Muda huu niko hapa kibosho,na nathibitisha vitoto vidogo vimelewa viroba na bange za mlima meru
Nani anaita mbege yetu mataputapu? Shenzi malabukuu panya road wahedi.....
haimaanishi hivyo. katika hao 87% kuna wengine wanakunywa vyote.87% ya Watanzania wanakunywa mataputapu, sasa tukiongeza na asilimia ya wanaokunywa bia si jibu litakuja Watanzania wote ni walevi? Au hulioni tatizo hapo?
Yaani 13% ya Watanzania ndio humo wamo wasiotumia kilevi na wanywa bia? Hii nchi ilipofikia sijui hata nani wa kumuamini, maprofesa hovyo madoctor hovyo yaani ni shidaaa.
Hata beer za hapa Tanzania ni matapu tapu ndio maana serikali inaongeza kodi kila siku watu waache kunywa haya matapu tapu maana ndio yanadumaza akiri za wananchi wetu,mfano beer inaitwa Ukawa ni matapu tapu kwa asilimia 100%Utafiti WHO umeonesha 87% ya watanzania wanakunywa pombe za kienyeji, Dar, K'njaro zaongoza kwa wanywaji wengi wa pombe hizo
Mkoani Kilimanjaro eneo linaloongoza kwa wanywaji wa pombe hiyo ni Moshi, kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.
Tanzania ilikuwa na watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya milioni 44.9, hivyo 87% ya idadi hiyo kulingana na utafiti huo ni watu milioni 39.06. Kulingana na gazeti la Jambo Leo limeeleza kuwa utafiti huo umebaini kuwa kwa sasa vijana wengi wanatumia pombe kupita kiasi kuanzia shule ya msingi hadi vyuo vikuu hali inayosababisha wakumbwe na magonjwa ya akili na kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu.
Matokeo ya utafiti huo yalitangazwa jana katibu mkuu wa chama cha wataalam wa afya ya akili Tanzania (MEHATA), Dk. Kissah Mwambene.Alikuwa akitoa mada kwa wabunge juu ya athari za matumizi za matumizi ya pombe iliyoandaliwa na chama cha waandishi wa habari wanawwake
‘TAMWA’.
#jamboLEO