Watanzania mbona hii hamuipigii kelele, lakini kwa Kenya mnang'aka hadi mnatia huruma

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,703
48,517
Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza.

Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.

Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.

2473175_20200801_164531.jpg
 
Acha kelele wewe tafuta dawa uisaidie nchi yako usihangaike na sisi.. serikali yetu imeshahamua kufuata njia yake na wala hakuna magroup ya watu wanaokufa wala nini..

Nyie ni bendera fata upepo tu na bado mtalambishwa mengi.. hizo ni kelele za chura tu.. serious kuwe na korona kwa kipimo kikubwa tushindwe kulalamika..?

Serikali haiwezi kuwafunga watu wote midomo hata hao wapinzani sahivi ndo kwanza wanafanya mikutano.. zakuambiwa changanya na zako.. mmekubali kupima pimeni msichafue wengine.
 
Tunamwangalia wa karibu zaidi unapoitaja Uganda uwezi kuiacha TANZANIA ndio maana unaona mumejibiwa Kwa jibu Kali mno Kwa mda mfupi ili muache dharau sasa unatuletea habari ya nchi haipo hata kichwani
 
Woiyeeee maskini......you should wear a mask......Labda corona is treating you bad kwa kichwa......
Mtapona lakini.....mjifukize na kusanitize vizuri.........
 
Back
Top Bottom