Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Mkuu wewe huna Wanafunzi kama hao wanaotembea Uchi? samahani............ gfsonwinHii ni kali lol!
Mkuu ni kweli kwanini wanaficha miguu wakati huku kwenye kiuno hawafichi? bora watembee bila ya kuvaa nguo itakuwa jambo zuri kuliko kutembea huku suruali imeshuka kwenye kiuno utafikiri vikojozi haahahah..... Doreen22Kama ni hivyo, bora watembee uchi tu, miguu inafichwa, ina nini cha kusetiriwa zaidi ya vile vilivyo juu, kama vya juu vinaweza kuachwa wazi hadharani, bora suruali yote uvuliwe kabisaaa
Mambo ya kwa OBAMA hayo jama!
Utakuwa unawapiga siku zote mkuu.... gfsonwinMziziMkavu hawa wapo ila siyo siri huwa kwangu wanakula bakora tu, sitaki ujinga wa kihuni bana. shule ina heshima yake mkuu
Utakuwa unawapiga siku zote mkuu.... gfsonwin