Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 835
Kama mtu mpaka umekiri kupigia picha ya ma-vi utakuwa sio mzima aiseee
Hahaha duh watu bwana
Kama mtu mpaka umekiri kupigia picha ya ma-vi utakuwa sio mzima aiseee
Mkuu ile 150b iko kazini....yaani LIPUMBA alimpokea LOWASA kwa mbwembwe na nderemo nyingi live akiwa kwenye media, najiulza yale maneno aliyoyaongea mbele ya journalists kayatoa wapi?. Elimu ya kitanzania bana! sijui ni ya kinafki. Eeh Mungu turehemu!
Mkuu ile 150b iko kazini....
Umeongea point tupu mkuu, magamba rangi ya kisamvu yataondoka usijali
Mkuu unapo mkosoa mtu kuwa making
ni madaraka na sio madalaka
Hatuvuruge nani?? Ukiondoka mmoja wakaingia 10 na wapiga kura 1000 Kuna hasara gani??
Habari Wadau!
Nasema hivi!....Hata kama Mbowe akijiondoa kesho Chadema, hata kama Mbatia na Mzee Makaidi wakajiondoa keshokutwa! yani nasema hiviiii! hata kama Lowassa akajiondoa kugombea kupitia Ukawa.
Ni bora nipigie kura Kinyesi kile kuliko kuipigia kura CCM, kama vijana hatuhitaji Serikali ya CCM ituwekee pesa mifukoni tunachotaka ni mazingira mazuri ya kujiajiri, kwa wale wataokosa ajira, mikopo ya elimu ya juu bila upendeleo, fulsa sawa kwa kila raia, mwaka jana vijana wamekosa mikopo, baada ya muda wanasikia kuwa kuna watu hawaafiki 10 wamepiga mabilioni ya pesa peke yao, kwa miaka 50 ya uhuru bado kuna watoto wanasoma wakiwa wamekaa kwenye mawe hakuna madawati kwa nchi ambayo imezungukwa na misitu, kwa miaka 50 imeshindikana kujenga madawati, tuna nini tumekosa Tanzania?
Madini ya kila aina, ardhi, Maziwa, Bahari, Gesi na sasa mafuta, kwa nini mpaka leo tushindwe kutibia bure watu wetu? kwa rasilimari tulizonazo tumeshindwa kutoa elimu bora na bure toka nursery mpaka chuo kikuu?
kila kitu tumeshindwa! kama chama kinachoendesha serikali kimeshindwa kuhakikisha serikali inaboresha maisha ya mtanzania kwa miaka yote 50!!! nitakiadhibu chama hiki!! nasema hivi hata Ukawa wakaweka jiwe...nitalichagua jiwe..kuliko kuwa mnafiki eti niichague CCM! kwa lipi???