sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,236
Kataa wahuni.
1. Maridhiano ni tume ya uchaguzi itakayokua inatenda haki na ikiongozwa na wtu wenye akili timamu sio makada wa mbogamboga
2. Wahuni walio kwapua madaraka kwa hila waachie ngazi.
3. Kufuta uchaguzi uliofanyika na matokeo yake kutotambulika katika rekodi,
4. Kufanyika uchaguzi wa huru na haki.
5. Baada ya hapo tutataka kujua nani aliua ndugu zetu.
Kinyume na hapo ni uhuni tu.
1. Maridhiano ni tume ya uchaguzi itakayokua inatenda haki na ikiongozwa na wtu wenye akili timamu sio makada wa mbogamboga
2. Wahuni walio kwapua madaraka kwa hila waachie ngazi.
3. Kufuta uchaguzi uliofanyika na matokeo yake kutotambulika katika rekodi,
4. Kufanyika uchaguzi wa huru na haki.
5. Baada ya hapo tutataka kujua nani aliua ndugu zetu.
Kinyume na hapo ni uhuni tu.