Watanzania hatutaki Rais Fisadi

Watanzania hatutaki Rais Fisadi

mbn tuna rais fisadi mpk ss hv...kikwete....lowasa ndiye rais bora fisadi kuliko mafisadi na bora mgonjwa kwsbb wazima hao wameshindwa miaka 54 ya uhuru
 
Umesha lishwa fedha za ufisadi na mdomo wako umefungwa.

Nafikiri ulijiunga JF kushambulia watu, unajisikiaje lakini maendeleo ya kazi yako hii? Baada ya uchaguzi mkuu utaendelea na kazi ya kuattack watu ama unapangiwa kazi nyingine? Na vipi kazi hii ndiyo unaitegemea kujiingizia kipato ama una kazi mbadala?
 
Hivi unaelewa?? Kwani m nimekuomba wewe baraka?? Jitambue mkuu
More than you. Blessings are from the God, period. Wewe endelea kula fedha chafu za fisadi na usubiri kiyama yake.
 
Nafikiri ulijiunga JF kushambulia watu, unajisikiaje lakini maendeleo ya kazi yako hii? Baada ya uchaguzi mkuu utaendelea na kazi ya kuattack watu ama unapangiwa kazi nyingine? Na vipi kazi hii ndiyo unaitegemea kujiingizia kipato ama una kazi mbadala?
Keep on guessing, I am not a blind follower like you.
 
mbn tuna rais fisadi mpk ss hv...kikwete....lowasa ndiye rais bora fisadi kuliko mafisadi na bora mgonjwa kwsbb wazima hao wameshindwa miaka 54 ya uhuru
Support your malarkey with evidence.
 
12027738_1026416174045318_465370499838258110_n.jpg


12027543_1026416060711996_3073046456672668995_n.jpg


Mtakumbuka hivi karibuni, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amenukuliwa akisema kuwa chama hicho kina wafadhili watano ambao hatawataja hadharani kwa kuhofia vyombo vya dola kuwafuatilia. Binafsi nilishtushwa sana na kauli hii ya Mbowe na nilijawa na shauku ya kujua ni akina nani hao na kama wanasaidia chama kwa good faith, iweje wafuatiliwe na vyombo vya dola? Mbona Mustapha Sabodo amekuwa akikisaidia chama hicho hadharani na wala hajawahi kuguswa na vyombo hivyo?

jikunje vizuri iingie,chezea mwigulu weye
 
kama ni hivyo bora tumpe fisadi aliyetosheka kuliko tumpe mwenye njaa aanze kutembeza bakuli
 
Bora tumpe fisadi anayetaka katiba mpya, hatutapoteza kila kitu. Tukiwapa ccm imekula kwetu.
 
12027738_1026416174045318_465370499838258110_n.jpg


12027543_1026416060711996_3073046456672668995_n.jpg


Mtakumbuka hivi karibuni, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amenukuliwa akisema kuwa chama hicho kina wafadhili watano ambao hatawataja hadharani kwa kuhofia vyombo vya dola kuwafuatilia. Binafsi nilishtushwa sana na kauli hii ya Mbowe na nilijawa na shauku ya kujua ni akina nani hao na kama wanasaidia chama kwa good faith, iweje wafuatiliwe na vyombo vya dola? Mbona Mustapha Sabodo amekuwa akikisaidia chama hicho hadharani na wala hajawahi kuguswa na vyombo hivyo?
Huyo mnayempigia debe sio mwizi? marumbesa ya stanbic aliyeyalamba mnamjua? bingwa wa madawa ya kulevya na pembe za ndovu mnamjua? kama hamumjui mna uhakika gani mtu wenu hahusiki? na kwanini hizo orodha za hao wahalifu mnazilinda na kuzificha? ni kwa faida ya nani? kabla hamjaziweka hadharani hatuwezi kuwakubali kwamba mtu wenu sio FISADI nyangumi
 
Bora fisadi kuliko rundo la mafisadi walioko ccm....mr chin yuko kwenye kibarua chake toka lumumba na sio kwamb ana akaunti moja anayo mengi sn..hp unakuta ni mtu mmoja ana koment maana lumumba iliwaambia vjn wao kila mmoja awe na akauti 7 facebook na jf na ndio kibarua chao ikifika jioni wanapokea posho lumumba
 
Huyo mnayempigia debe sio mwizi? marumbesa ya stanbic aliyeyalamba mnamjua? bingwa wa madawa ya kulevya na pembe za ndovu mnamjua? kama hamumjui mna uhakika gani mtu wenu hahusiki? na kwanini hizo orodha za hao wahalifu mnazilinda na kuzificha? ni kwa faida ya nani? kabla hamjaziweka hadharani hatuwezi kuwakubali kwamba mtu wenu sio FISADI nyangumi
Umemwona Fisadi na mkewe kwenye picha. Sasa pigana na picha kama unaweza. Maneno meengi hayasaidi kitu. Jamaa ni Fisadi kwenye damu, fisadi kwenye ubongo roho yake, fisaidi kwenye nafsi yake. Ni wa kuonea huruma tu. Mafisadi hawata ingia mbiguni.
 
Bora fisadi kuliko rundo la mafisadi walioko ccm....mr chin yuko kwenye kibarua chake toka lumumba na sio kwamb ana akaunti moja anayo mengi sn..hp unakuta ni mtu mmoja ana koment maana lumumba iliwaambia vjn wao kila mmoja awe na akauti 7 facebook na jf na ndio kibarua chao ikifika jioni wanapokea posho lumumba
Hivi mna jipya nyie? Huo mzigo unawashinda kuubeba sasa. Subiri mlipuko unakuja,
 
Mlipuko wa chenge,tibajuka,kinana,kikwwte,nyalandu au mlipuko wa nn maana hao ndio baadhi ya mafisadi nyangumi kwa ss ndn ya FISI EM
 
Umemwona Fisadi na mkewe kwenye picha. Sasa pigana na picha kama unaweza. Maneno meengi hayasaidi kitu. Jamaa ni Fisadi kwenye damu, fisadi kwenye ubongo roho yake, fisaidi kwenye nafsi yake. Ni wa kuonea huruma tu. Mafisadi hawata ingia mbiguni.

Porojo hizo mmeishiwa sera; aheri nusu shari kuliko shari kamili, aheri mafisadi mia tano kuliko mafisadi elfu. Mmeikataaje katiba ya wananchi yenye kinga na maadili yanayopiga vita ufisadi kama sio wezi wa kutupwa? tunajenga madaraja kwenda mbele sio kurudi nyuma; huyo aliyeondoka kwenu kaacha ufisadi nyie mmejiandalia mazingira ya kuendelea kuiba yupi bora? usiwe na kichwa cha jogoo aisee
 
Keep on guessing, I am not a blind follower like you.

https://www.jamiiforums.com/utambulisho-member-intro-forum/847874-i-am-a-new-member.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...risha-uchumba-wangu-mchumba-namuona-mzee.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...u-za-mwanamke-na-maana-zake-kwa-mwanaume.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...o-hebu-wahi-kuolewa-unazeeka-haraka-ujue.html

https://www.jamiiforums.com/jf-chit...bushane-za-enzi-hizo-za-watoto-wa-walimu.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-kimenisaidia-kuimarisha-mahusiano-yangu.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...ulizo-sijaiona-%93morning-glory%94-yangu.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...t-true-%93no-means-yes%94-for-most-women.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...kaolewa-na-mzee-anataka-niwe-nae-naogopa.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...eki-na-avatar-feki-kuna-wakosesha-bahati.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...bwebwe-wakati-wa-kucheza-ngoma-au-muziki.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-isiwe-sababu-ya-kumchukia-kila-mwanaume.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...angu-wa-nje-ya-ndoa-kapewa-baba-mwingine.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-sana-bustani-yenye-msitu-mnene-wewe-je.html

https://www.jamiiforums.com/mahusia...da-mchepuko-umenipa-gono-zinaa-sasa-basi.html

https://www.jamiiforums.com/utambul...a-jf-nipokeeni-na-naombeni-muongozo-wenu.html

Hii ni reference ili watu wanao argue na wewe wajue kwamba wanaongea na mtu wa aina gani!
 
Nafikiri ulijiunga JF kushambulia watu, unajisikiaje lakini maendeleo ya kazi yako hii? Baada ya uchaguzi mkuu utaendelea na kazi ya kuattack watu ama unapangiwa kazi nyingine? Na vipi kazi hii ndiyo unaitegemea kujiingizia kipato ama una kazi mbadala?

Will be dumped like a used condom....
 
Back
Top Bottom