Hii mahakama ya makosa ya kivita huko the Hague naiona imeundwa kutudhalilisha Waafrika na wala haina malengo memo kwetu. Serikali yetu isijiingize kwenye huo mtego wa ukoloni-beberu!!
wana JF mna maoni gani kuhusu hili?
mmmm fikiria upya kwanza kwa saababu hayakukuta,waulize yaliowakuta watakuambia umuhimu wa kuwa na kitu kama hicho
Hii mahakama ya makosa ya kivita huko the Hague naiona imeundwa kutudhalilisha Waafrika na wala haina malengo memo kwetu. Serikali yetu isijiingize kwenye huo mtego wa ukoloni-beberu!!
wana JF mna maoni gani kuhusu hili?
Mkuu kumbe una IDs mbili tofauti? nini lengo lako?Hii mahakama ya makosa ya kivita huko the Hague naiona imeundwa kutudhalilisha Waafrika na wala haina malengo memo kwetu. Serikali yetu isijiingize kwenye huo mtego wa ukoloni-beberu!!
wana JF mna maoni gani kuhusu hili?
mmmm fikiria upya kwanza kwa saababu hayakukuta,waulize yaliowakuta watakuambia umuhimu wa kuwa na kitu kama hicho