Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
- Thread starter
- #21
"Nashangaa hata hapa CHADEMA ni wengi kuliko sisiemu" CCM hamuiwezi Chadema kwa njia ya haki! Angalieni mliposimama kuongea walianza kuondoka uwanjani mkabaki mkisema;
"Ni marufuku kuitwa waheshimiwa ndani ya CCM kuanzia leo"
Nami nawaungeni mkono kuanzia siku hiyo tunapenda kutangaza kuwa Wanaccm na viongozi wao ni "Wadharauliwa!" Alaa! kumbe inauma mkiitwa Wadharauliwa, sasa tuwaite vipi hali hamtaki kuitwa waheshimiwa? Nadhani mnajua kinyume cha mheshimiwa ni Mdharauliwa au Kiswali sio lugha ya Taifa kwa Chama chenu? Kauli zenu za kukataa heshima zitazaa dharau. Shauri lenu wasioheshimiwa
"Ni marufuku kuitwa waheshimiwa ndani ya CCM kuanzia leo"
Nami nawaungeni mkono kuanzia siku hiyo tunapenda kutangaza kuwa Wanaccm na viongozi wao ni "Wadharauliwa!" Alaa! kumbe inauma mkiitwa Wadharauliwa, sasa tuwaite vipi hali hamtaki kuitwa waheshimiwa? Nadhani mnajua kinyume cha mheshimiwa ni Mdharauliwa au Kiswali sio lugha ya Taifa kwa Chama chenu? Kauli zenu za kukataa heshima zitazaa dharau. Shauri lenu wasioheshimiwa