wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Real madrid imempiga mutu huko tatu moja ni hataree chalii yangu
Af nackia Rönaldo katupia.
Real madrid imempiga mutu huko tatu moja ni hataree chalii yangu
Ndio maana Tanzania ni nchi masikini na watu hawajui ni kwa nini wako masikini na viongozi wao hawajui ni nini chanzo cha umasikini wa wananchi wao.
Leo nilikua naongea na jamaa yangu ambae huwa anaenda china na Korea kusini mara kwa mara,nikamuomba siku akienda aniletee galaxy note 4 maana bei huko inaweza kua reasonable kidogo kuliko huku.
Basi pembeni yetu walikuwepo watu wengine,nikasikia mmoja anasema simu zote za Samsung ni za kike ikiwemo galaxy zote. Eti mwanaume huwezi kujisifia kuwa na galaxy simu za kike. Juzi juzi kapa nilileta mada humu nikiomba ushauri kati ya brevis na verrosa ipi gari nzuri nikaambiwa zote ni za wana wake. kwa hiyo kila kitu ni cha wanawake basi.
Watanzania sina hamu nao.
Kwani uwongo mkuu? Mimi bora nimiliki kitochi kuliko hizo samsungu. Yaani ni hali tu imenitokea.
Watu wenye uwezo wa kuzinunua hawana kauli kama hizo, mara nyingi wachovu wenye ndio wenye lugha za kujipa moyo kama sababu ya wao kutokuwa nazo. Fanya yako mkuu.
Ukweli galaxy zimekaa ki soft soft so zinafaa wanawake. Unlike tecno, lg, htc etc. Ila Tcno wajameni anakuja kwa kasi. Nimekutana na Tecno Phantom Z nikakubali. Sema ni kilo 8 hadi 7.5 uwe nazo mitaa ya maduka City Centre. Hko kando bei zinaweza kupungua kidogo.