Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Ndio maana Tanzania ni nchi masikini na watu hawajui ni kwa nini wako masikini na viongozi wao hawajui ni nini chanzo cha umasikini wa wananchi wao.
Leo nilikua naongea na jamaa yangu ambae huwa anaenda china na Korea kusini mara kwa mara,nikamuomba siku akienda aniletee galaxy note 4 maana bei huko inaweza kua reasonable kidogo kuliko huku.
Basi pembeni yetu walikuwepo watu wengine,nikasikia mmoja anasema simu zote za Samsung ni za kike ikiwemo galaxy zote. Eti mwanaume huwezi kujisifia kuwa na galaxy simu za kike. Juzi juzi kapa nilileta mada humu nikiomba ushauri kati ya brevis na verrosa ipi gari nzuri nikaambiwa zote ni za wana wake. kwa hiyo kila kitu ni cha wanawake basi.
Watanzania sina hamu nao.
Leo nilikua naongea na jamaa yangu ambae huwa anaenda china na Korea kusini mara kwa mara,nikamuomba siku akienda aniletee galaxy note 4 maana bei huko inaweza kua reasonable kidogo kuliko huku.
Basi pembeni yetu walikuwepo watu wengine,nikasikia mmoja anasema simu zote za Samsung ni za kike ikiwemo galaxy zote. Eti mwanaume huwezi kujisifia kuwa na galaxy simu za kike. Juzi juzi kapa nilileta mada humu nikiomba ushauri kati ya brevis na verrosa ipi gari nzuri nikaambiwa zote ni za wana wake. kwa hiyo kila kitu ni cha wanawake basi.
Watanzania sina hamu nao.