Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,524
- Thread starter
-
- #41
Swali la msingi, majibu yangu yatakuwa based on Plato’ rationale on civil service (he termed it ‘philosophers king’).Kuna namna fulani mimi naamini kiongozi mkuu wa chombo chochote cha usalama hatakiwi kuwa ametoka kwenye background ya maskini..
...ni rahisi sana mtu aliyekulia maisha ya kimaskini kupumbazika na pesa nyingi ambazo hakuwahi kuzishika huko nyuma na kiasi cha kuvunja kiapo chake bila kujali athari zake.
..Suleiman Mombo,Jacobo Mkundu na Camillius Wambura kwa jinsi Samia na mtoto wake walivyowageuza mazezeta kwa rushwa za mabilion wanazowapa, nina amini kabisa hawa watatu wameishi kwenye maisha ya kimaskini sana katika makuzi yao.
Ndio maana wamekubali sio tu kuliweka usalama wa taifa rehani, bali hata kutweza utu wao kwa kumnyenyekea na kumtii Abdul ambao kimsingi nina uhakika wanaweza kumzaa...
...hakika pesa mwanaharamu, yaani mababa mazima yamekubali kubeba lawama zote za watanzania 67m+ hili tu bank accounts zao zisome mabilioni hili kuilinda hii first familiy haramu iendelee kubagaza taifa la watanganyika.
Ila kwa hii katiba kweli baba wa Taifa alituweza.
🙏🙏🙏Yaani kweli kabisa sisi watanganyika hatuna vita za udini, Wazee wetu walitulea hivyo.Shule za kikristo tumesoma na waisilamu pamoja, Hospitali za waislamu wakristo tumetibiwa bila ubaguzi na tunashirikiana katika shughuli zote za maendeleo ya jamii yetu.Vikundi vya vikoba mama zetu wanashirikiana dini zote kwa umoja na upendo.
Tunaishi kwa kuheshimiana sana kwenye maswala ya Imani na kuna wakati hata katika sherehe zetu za kiimani tumesheherekea pamoja na kula pilau Pamoja. Na pia waislamu na wakristo hufunga ndoa pamoja.Hivyo zipo familia nyingi zenye waislamu na wakristo wanaoishi nyumba moja,na imekuwa hivi kwa miongo mingi.
Sasa kuna watu wenye chuki na wivu na Tanganyika, wivu wao ni juu ya umoja tulionayo na uhuru wetu wa kiimani. Watanganyika tunaheshimiana na tunapozungumzia maswala ya kijamii tunazungumza kwa hoja sio kwa udini au ukabila.
Watanganyika hatuna ardhi nyingine yakukimbilia ,Mungu alitupa Tanganyika, waislamu na wakristo Tanganyika ni yetu sote.Viongozi wetu wa dini zungumzeni kwa hoja za msingi, teteeni haki ya taifa letu.Yeyote atakayeleta ugomvi wa kidini tumkemee kwa nguvu zote.Hiyo mbegu ya udini tunaikataa haitapandikizwa kwenye ardhi yetu.
Udini ni kete zinazotumiwa na ccm kuendelea kubaki madarakani kwa shuruti. Iwapo ccm haitakubali kuwa hiki si kizazi chake, basi itaendelea kutumia kete chafu za divide & rule ili iendelee kusalia madarakani. Ni suala la nyie wanaccm kukubali kuwa wakati ukuta.Wabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
we mzenj toa hapa chuki zako mbwa weweHao hao ndio wanaongoza hapa Jf kwa nyuzi mbaya na maneno machafu ya kidini pamoja na dhihaka.
Tunachekeana tu moyoni chuki zimetawlaa
Upo Jf gani ?
Jf Wakristo ndio wanaongoza kwa nyuzi za chuki na kusimanga Uislamu na Kuna mpaka ID special kwa kazi hiyo.
Kipindi cha nyuma ukija Uzi wa Sheikh kulawiti dakika chache wanajaa Wakristo wakifurahia ,kutukana mpaka kuvuka mipaka kusema ndio mafundisho yao nk. Lakini Uzi ukija kuhusu Padri kufanya kitendo hikohiko Uzi unapoa na wanasema hayo sio mafundisho ya ukiristo.
Mimi binafsi nilikuwa naamini Wakristo ni watu poa hawana chuki kivile ni kawaida na wachache sana , ila Imani hiyo ilinitoka baada ya Kuna Jf humu ndio nimeshuhudia live yaliyomo vifuani mwao unakuta jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko lote zimajaa nyuzi kuhusu Uislamu na kuusema kwa chuki.
Wakristo wa Tanganyika wadini wakubwa, ndiyo ma-architect wa udini wakiongozwa na JuliusWabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
Ila kwenye siasa utakuta waislamu fulani..ni wachache tu anamtetea rais mhuni kwa bidii kwa kua eti dini yake. Tuacheni wandugu. Tusiruhusu viongozi wabovu kutumia dini kujilinda madarakani.Wabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
Chuki unazo wewe na sijui kama mada umeisoma ukaielewa,ok kwa maneno mengine (labda hivi ndiyo utaelewa) alichomaanisha mleta mada Wabara na dini zetu tunazi-practice tukiwa kwenye nyumba zetu za ibada tu nje ya hapo sisi ni wamoja.Hao hao ndio wanaongoza hapa Jf kwa nyuzi mbaya na maneno machafu ya kidini pamoja na dhihaka.
Tunachekeana tu moyoni chuki zimetawlaa
Bara hakuna chuki za udini ! miaka ya 70's Marehemu Babu yangu alikuwa miongoni mwa waislamu wasiozidi 5 katika kijiji chenye wakazi 5000 Wapagani,Wakristo na Waislamu wasiozidi 5 lkn alipewa jukumu la kuchinja vitoweo kila ilipotokea sherehe yoyote pale kijijini na aliheshimiwa sn sababu ya dini yake.. udini nchi hii unaletwa na watu wa pwani hasa Wazanzibari.Wasomi wa bara ndio wenye udini.
Nani akuchukie wewe adriz de Mbusi acha mikwara wewe hebu jiandae uende kuswali Masjid Mtoro acha kujistukia bobHao hao ndio wanaongoza hapa Jf kwa nyuzi mbaya na maneno machafu ya kidini pamoja na dhihaka.
Tunachekeana tu moyoni chuki zimetawlaa
Watanzania bara ndiyo nani.Wabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
Hicho kitabu kimeelezea vizuri sana jinsi vile good succession planning inavyoandaa mazingira ya uwepo wa accountability kwa kiongozi baada ya kupewa ridhaa, na hapo ndio tunaona umuhimu wa vetting process ya maana.Swali la msingi, majibu yangu yatakuwa based on Plato’ rationale on civil service (he termed it ‘philosophers king’).
Plato's Argument for Rule by Philosopher Kings
Plato’s argument for rule by philosopher kings is neither persuasive nor realistic in theory, but traces of the characteristics of his ideal form of rule do appear in the modern state.www.e-ir.info
For any serious politician, reading Plato’s ‘Repiblic’ is like canon law; the book is the backbone of western government civil service’s succession planning.
Huwa unanishangaza sana.Nyerere gani unaemzungumzia wewe alipika udini. Nyerere alikuwa mjenga taifa na sio mdini.
Napenda sana kukubaliana na wewe; lakini sijui unatumia kipimo gani kujuwa kuwa kuna udini au hakuna udini katika jamii..Hawatafanikiwa, usijali, it's too late kwa hayo, ni sawa sawa na kuanza kulewa ukiwa na miaka 75, tumepita hapo kwenye udini mda sana