Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
Wabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.