Watanzania bado ni wabishi

Watanzania bado ni wabishi

Kabisa..ila sisi watanzania mpk mtu au gari lisombwe ndo utaona tahadhari zinachukuliwa...
Hiyo ndio shida yetu watu weusi. Ni kama ule msemo wa kenge kwamba huwa hasikii hadi atoke damu masikioni.
 
Mkuu kangesa,
Ni halali bajaji apoteze maisha kwa kuwahi shilingi elf3?

Nafikiri ni sahihi kuchukua tahadhali isijalishe aina ya Chombo.

Maisha ni mara moja tu.
Jamaa alichokiandika hapo juu yupo sahihi.

Tumbo lenye njaa haliwezi kuona hatari hatari unaiona wewe uliyeshiba,kweli ni jambo la hatari lakini afanyeje na ndiyo kazi yake?
 
Jamaa alichokiandika hapo juu yupo sahihi.

Tumbo lenye njaa haliwezi kuona hatari hatari unaiona wewe uliyeshiba,kweli ni jambo la hatari lakini afanyeje na ndiyo kazi yake?
Hakika mkuu!

Kifo kipo hakiepukiki.
serikali itengeneze miundombinu bora hata kipindi kama hichi cha mvua kusiwepo na athari kubwa za kiuchumi sababu ya miundombinu mibovu.
 
Jamaa alichokiandika hapo juu yupo sahihi.

Tumbo lenye njaa haliwezi kuona hatari hatari unaiona wewe uliyeshiba,kweli ni jambo la hatari lakini afanyeje na ndiyo kazi yake?
Kwahiyo njaa yake imuue yeye na abiria wasio na njaa wala haraka.
Umeandika utumbo.
 
Kwahiyo njaa yake imuue yeye na abiria wasio na njaa wala haraka.
Umeandika utumbo.
Sawa sikatai nimeandika utumbo lakini hapo ukitafakari kwa kina utagundua mwenye njaa siyo bodaboda tu hata abiria wake (ambae bodaboda anamtafsiri kama tajiri yake) nae ana njaa vile vile angekuwa ameshiba huo muda tunaomuona anapita hapo mtoni na hatari zote hizo angekuwa kwake amenyoosha miguu lakini hali haimruhusu.

Maisha haya tuheshimiane tu mkuu hakuna mtu anayetaka wanae wasile vizuri that's why unaziona purukushani zote hizo.
 
Wabongo bado ni wabishi, hawasikii. Eneo lishaonesha kuwa na madhara. Wao wanapita tu, hivi hapo gari ikisombwa na maji watailamu serikali.

Siku zote nasemaga madereva wengi sahvi ni viherehere tu. Usalama wowote unaanzia kwake.

Ova

View attachment 2836433

Mshana Jr
FRANCIS DA DON
Extrovert
MamaSamia2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu...mnawajua wanyama wanaoitwa NYUMBU? yule mnyama anaona kabisa mwenzie kaliwa na MAMBA ila utashangaa baada ya sekunde kadhaa anarudi mwingine pale pale kwenda kunywa maji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom