sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
kweli kabisa.kuna mambo fulani tanzania hayajakaa freshi lakini watanzania wametulia tu.gonjwa la TIBIccm ambalo mpaka leo halijatokomezwa na limewafanya watanzania kuchoka kukemea uonevu fulani na serikali!,halafu pia watanzania wanatii AMRI za watawala bila KUSHURUTIWA !!. Halafu tanzania ni nchi iliyo rithi UTULIVU na njimana tanzania inatulia!!