Watanzania 65 wauza 'unga' kunyongwa China

Watanzania 65 wauza 'unga' kunyongwa China

Hakika kwa sasa kuyumia passport ya Tanzania ni noma. Nakumbuka last week nikiwa natoka Washington DC kurudi Doha, nikiwa airport ya Dullus nilikutana na mama mmoja mtu mzima akiwa na umri usipungua miaka 65 kutoka Tanzania akiwa na bint yake wakiwa nao wanasubiri Qatar airways kupitia Doha kwenda Dar.Basi tukawa tunajinafasi kuongea lugha ya kiswahili wakti tunasubiri ndege.

Hakika mimi na mke wangu tulistahajabu sana huyo mama na binti yake walivyopekuliwa kwa takriban dakika 25 kila mmoja na baaade kuruhusiwa na tulipowauliza vipi mama kulikoni mnapekuliwa hivyo kama waNigeria akasema mambo ya Unga hayo ndio yanayotufanya tusiaminike Duniani.

Hakika Unga umeiweka pabaya sana Tanzania na waTanzania wasiaminiwe popote wanapopita Duniani.

Mbona wewe hukupekuliwa hivyo!!?? Au wewe hutumii passport ya Bongo!??
 
Hicho ni kichwa cha habari, habari kamili iko wapi? Waje wawakamate na hao waliowatuma kwa sababu rais wao alikuja na makamu wake kaja juzi tu na sijawasikia wakilalamika kuhusu madawa ya kulevya kutoka Tanzania.

unataka mtoto wa rais wako akamatwe...
 
bila shaka ameahidi kushughulikia yale majina ambayo mkubwa alidai anayo .
 
Labda si wewe hujasikia vizuri au uliyemsikia hajaongea sawa.

China wanasheria ya kuuwa kwa watu wanaokamatwa wakiingiza na kusambaza madawa ya kulevya lakini si kwa kunyonga.

Kwa hiyo hao Watanzania itakuwa wamehukumiwa kuuliwa lakini nakuhakikishia hukumu hiyo (kama ni habari za kweli) basi haitakuwa kwa kunyongwa, wanatandikwa risasi za kisogoni.

aisee inatisha risasi ya kisogoni uuuwiii...wacha wavune walichopanda.
 
Labda si wewe hujasikia vizuri au uliyemsikia hajaongea sawa.

China wanasheria ya kuuwa kwa watu wanaokamatwa wakiingiza na kusambaza madawa ya kulevya lakini si kwa kunyonga.

Kwa hiyo hao Watanzania itakuwa wamehukumiwa kuuliwa lakini nakuhakikishia hukumu hiyo (kama ni habari za kweli) basi haitakuwa kwa kunyongwa, wanatandikwa risasi za kisogoni.



Hii safi sana, na ni habari nzuri kwa taifa letu ili wale wenye uchu wa kuangamiza wenzao wajifunze.
 
TZ KWANZA una ubishi wa kitoto

Hebu tuambie ni watoto gani hao wana ubishi wa namna yangu? jaribu kuwa mwelewa mkuu, sio lazima tugombane kwa lengo la kuelimishana, ila ukitaka moto, utapewa moto vile vile!
 
Wauza unga? that means hao ndio tycoons wa hizo biashara au?

Wachina wakikamata wabongo wananyonga tu bila kuuliza a wala ba, ila serikali ya Tanzania inawaachia tu wachina hapa wanafanya mambo ya kijinga tu bila kuchukuliwa hatua za kisheria kulingana na sheria za nchi.
 
Na wale tulio wakamata na pembe za ndov nao cjui tunawafanya nin

Ndani ya magereza zetu hakuna mchina hata mmoja aliyeko mahabusu wote wameisha achiwa na aliyejifanya kiherehere kuwakamata Uwaziri ameishautema.
 
Back
Top Bottom