Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wasafirishaji wawili Wa Madawa Ya Kulevya Bi.Deborah Eliah na Bwn. Felix Obadia wamekamatwa Kwenye Uwanja Wa Ndege Wa Chennai Wakisafirisha Kg.15.6 za Madawa Ya Kulevya Aina ya Heroin.
.
Watanzania Hao Wawili Wamekamatwa Uwanja wa Ndege Walipowasili Wakitokea Johannesburg Kupitia Doha.
.
.
Watanzania Hao Wawili Wamekamatwa Uwanja wa Ndege Walipowasili Wakitokea Johannesburg Kupitia Doha.
.
Imesekana Deborah alikuwa anasafiri Kwenda India Kwa Matibabu Akiwa na Bwn. Felix Obadia Huko Bengaluru.