Watanzania 100 Walishiriki Mafunzo ya Kilimo Israel mwaka 2019

Papaa Muu

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
243
292
Kuimarika kwa diplomasia ya uchumi kwenye serikali ya Rais Magufuli kumesababisha Watanzania kunufaika kwa njia mbalimbali ikiwamo kupata mafunzo ya kimkakati nje ya nchi.

Mwaka 2019, serikali ya Tanzania iliwapeleka vijana 100 nchini Israel ambapo walipata mafunzo ya mbinu bora na teknolojia ya kisasa ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.

Lengo likiwa ni kuongeza ufanisi kwenye sekta hiyo na kukifanya kilimo kiwe na tija.

Sambamba na hilo, Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Mh.Japhet Hasunga akaenda Israel ambapo alitembelea mashamba na viwanda vya usindikaji.
 
Hao vijana 100 walitokea wapi? Isije ikawa walichukua watu vyuoni wakawapeleka kupata mafunzo sa hizi wamerudi na kuhitimu masomo ya na wapo tu mtaani bila kazi maalum. (Ikiwemo suala la kukosa ajira)
 
Sad mbona hatujawasikia…?? ..au mlitaka waje kisirisiri wafanye mambo makubwa..mpate Credit?🤣🤣🤣..sasa hivi ni history tu kulikua na watu walioenda Israel...
 
Back
Top Bottom