bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
Nafikiri watanzania wengi tunatumia neno Gadi bila kujua tafisiri yako vizuri,kitu ambacho huleta shida katika uchangiaji wa hoja na kupotosha mtiririko wa mawazo
sawa na tunavyochanganya matumizi ya maneno MHANGA NA MUATHIRIKA
tujirekebishe jamani,au tunahamu na magaidi nini lol!
sawa na tunavyochanganya matumizi ya maneno MHANGA NA MUATHIRIKA
tujirekebishe jamani,au tunahamu na magaidi nini lol!