Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Nikiwa mfuatiliaji mkubwa wa habari za Runinga, redio na magazeti nasikitishwa sana na kiwango kidogo cha uelewa kinachoonyoeshwa na watangazaji wetu. Kwa ujumla wa wana udhaifu mkubwa sana katika maeneo yafuatayo:
1. Kutamka kwa usahihi majina ya watu na sehemu- sikilizeni radio za nje ambazo watangazaji wanatamka kwa usahihi majina hayo
2. Kuchanganya maneno ya kiingereza wanapoongea kiswahili. Mfano watangazaji wa Radio magic utasikia unajua ''Arsenal wapo weak sana katika kudefence'' mifani ni mingi sana- Ushauri kma lugha haipandi tumia kishwahili wakati wote au sio mbya kujiunga na mafunzo ya kiingereza
3. Kuchanganya mambo- utasikia Rooney alifunga goli akiwa kwenye impossible angle-ukweli huwezi kufunga goli ukiwa impossible angle.
4. Kutokamilisha habari- wakiripoti tukio leo basi ndo mwisho hakuna habari za kufuatilia baada ya hapo. Mfano tukio la vijana wanaodaiwa kufufuka mwanza na Njombe, habari hiyo ndio hivyo ilishaisha
......................na mengine mengi tunaweza kuongezea
1. Kutamka kwa usahihi majina ya watu na sehemu- sikilizeni radio za nje ambazo watangazaji wanatamka kwa usahihi majina hayo
2. Kuchanganya maneno ya kiingereza wanapoongea kiswahili. Mfano watangazaji wa Radio magic utasikia unajua ''Arsenal wapo weak sana katika kudefence'' mifani ni mingi sana- Ushauri kma lugha haipandi tumia kishwahili wakati wote au sio mbya kujiunga na mafunzo ya kiingereza
3. Kuchanganya mambo- utasikia Rooney alifunga goli akiwa kwenye impossible angle-ukweli huwezi kufunga goli ukiwa impossible angle.
4. Kutokamilisha habari- wakiripoti tukio leo basi ndo mwisho hakuna habari za kufuatilia baada ya hapo. Mfano tukio la vijana wanaodaiwa kufufuka mwanza na Njombe, habari hiyo ndio hivyo ilishaisha
......................na mengine mengi tunaweza kuongezea