Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Azama Media ni moja ya kituo kikubwa ambacho kimeleta mabadiliko makubwa katika tasnia yetu ya habari hapa nchini.
Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.
Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.
Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.
Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.
Wamekuwa wabunifu katika vipindi, ubora wa picha na mpangilio mzuri wa vipindi na wingi wa channel nzuri katika king'amuzi chao, hongereni kwa hilo.
Kero ya watu wengi na wapenzi wa Azam Media ni kwamba watangazaji wengi wamekuwa wakirudiarudia nguo, yaani mpaka inakuwa kero, kuna kipindi cha Ndani ya Boksi Azam 2 na Mkanda, yaani watangazaji hawapendezi kabisa na kila nguo zinarudiwa kila wiki, hadi inaboa kwakweli.
Azam TV ni brand kubwa kwa nini kusiwe na uwekezaji katika suala hilo au watangazaji wasijiongeze kuingia mikataba na kampuni za nguo sababu hata media nyingine huwa wanafanya hivyo.
Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.