Kwa shebughe ni kweli yule dada yupo very smart na ndio anayeongoza kwa kupendeza Azam media yote Ile,Ila kazi ipo kwa mwenzake na wale wengine fatilia tu utaonamengine unawasingizia
sijaona mtangazaji anayejitahidi kubadili nguo kama halima shebuge wa ndani ya box
huyo dan sijamfatili lkn umezidisha chumvi
Inakera vipindi ambavyo unatamani kuona presenter akiwa smart unaona anarudia nguo ya wiki iliyopita, jamani badilikeni inaboa sana.
huwa wanaingia mkataba na maduka ya nguo wanavaa na kurudisha ila kwa mwezi au week anapewa labda nguo moja.Asa mtoa uzi how comes unakipindi kila siku per year ni 365 days na kwenye kazi unamkataba wa 10 years au hata 5 years izo hela za kununua let’s say suluali 365 na mashati 365 au magauni 365 ata zitoa wapi kama wewe hujampa
Una vi-Idea unaelekeahuwa wanaingia mkataba na maduka ya nguo wanavaa na kurudisha ila kwa mwezi au week anapewa labda nguo moja.