enterior desgner
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 367
- 181
Imekua ni kawaida sana kwa watangazaji kwenye TV kukosea.
Upendo Msuya wa Channel 10 jana alinishangaza aliposema fuvu la mtu wa kale liligunduliwa mwaka 1957.
Hivi huyu dada hakuwahi kusoma history shule ya msingi na secondary?
na alikufa lin huyo mtu wa kale