Watangazaji mnaaibisha walimu wenu

Watangazaji mnaaibisha walimu wenu

Imekua ni kawaida sana kwa watangazaji kwenye TV kukosea.

Upendo Msuya wa Channel 10 jana alinishangaza aliposema fuvu la mtu wa kale liligunduliwa mwaka 1957.

Hivi huyu dada hakuwahi kusoma history shule ya msingi na secondary?

na alikufa lin huyo mtu wa kale
 
hii si shida ya mwalimu ni shida ya mtangazaji binafsi na aliye andaa hii taarifa ,wanafunzi wengi hesabu ni shida sasa huyo mhariri alitakiwa amtahadharishe kabisa.Lakini utashangaa anarudia na kurudia kukosea bila kurekebishwa
inawezekana ikawa, kweli, hebu nisaidie na hili, watangazaji wengi wa radio/tv huwa kutaja decimal points ni shida, mfano. uchumi umepanda kwa asilimia 7.15,wao wanatamka asilimia 7 nukta 15!!!!!(badala ya 7 nukta moja tano) tena ni kutoka vituo vikubwa kabisa!! hii si hesabu za std 5,jinsi ya kutamka decimal point, hata bungeni kuna waziri/wabunge huwa wanatamka sana.
 
Back
Top Bottom