Ukweli ni upi sasa...?
Tusubiri wana historia waje
Tusubiri wana historia waje
17 July 1959
Kama wakija ndipo na mimi nitageuka kuwa "mwanahistoria".
Nimejiandaa kwa ubishi hapa nilipo....
hiyo aina umuhimu wowote aiongezi chochote kwenye kazi yako ya udereva
Hahahaaa umenichekesha, ila angepatia hapo wangemsifia yeye kama yeye ana akili, kakosea basi aibu wanataka agawane yeye na mwalimu wake. Mbona walimu tuna hali ngumu hiviii?
Mbona hamumsifii mwalimu wake wa kusoma kimya na kusoma kwa sauti alivyompika hadi akawa mahiri katika kusoma habari?
Umenikumbusha jamaa mmoja aliwahi sema matokeo yakiwa mazuri ni ya serikali ila yakiwa mabovu ni ya walimu.
Haya tushapata jibu hapo juu.....
MInafikiri kosa si la mwalimu