Watanganyika wenzetu wanavyoteseka Zanzibar

Zanzibar kuna neema tele za Kitalii wa Beach zao nzuri, ila wazanzibari wanatosheka mapema na hawajishugulishi, kwa wabara ni paradise kufanya biashara Zanzibar, wakifanya inawauma wazanzibari na kuanza kuwaandama kwa kila njia ili kuwaondoa, wakikaza uzi inaingilia kati serikali kuu ya zanzibar, wenzetu serikali yao iko karibu nao sana, usishangae muuza magazeti au madafu anaenda ikulu kulalamika, mtu yoyote anafika kwa rais au waziri kwa muda wa masaa sio siku, kwa hiyo kama mtu wa bara akifanikiwa basi mara moja rais anaambiwa, na atashugulikiwa, hiyo ndio zanzibar, lakini bahari ya Tanganyika hasa Dar na Visiwa mbele yake ni paradise za kupumzika watalii, lakini zote zipo mikononi mwa wahindi wanaouuza kebab tu? Makampuni mengi yameshakuja lakini wahindi wanawapokea na kuwatajia mabei makubwa nao wanakimbia? tuseme bara kuna ushamba fulani bado, zanzibar pamoja na style yake ya kuamua mambo kidikteta ndio mana wanafanikiwa, wakiamua fulani aondoke hapa ije kampuni kubwa ili ajira na uchumi ukuo wanakutua, lakini hao wengi wanaomiliki na kukalia ardhi za bara pia ni wazanzibari pia
 
@Ghibu muwekee picha ya hivo vibanda na hilo eneo lililoungua labda akafahamu.
 
@Ghibu muwekee picha ya hivo vibanda na hilo eneo lililoungua labda akafahamu.
Kwa picha ni vigumu kuipata kabla havija chomwa hivyo vibanda ila ukiangalia katika video utaona hakuna kilichobaki,ni vibanda vya mbao na miti tu,,,tofali haliungui hata siku moja,kama ingelikuwa biashara ya kweli hasa mtu angelikuwa na duka,,ilikuwa ni uababishajit tu wa mtu kujipatia rizki.

Mi nailaumu serikali kwa nini hawakuchukua hatua za kisheria pale wananchi walipopeleka malalamiko yao ? Kwa nini wasiwatafutie maeneo ambayo yalipaswa kuweka hata hayo mabanda ? Watalii walikuwa wakilala mika wakikabwa katika maeneo hayo,wakati wa usiku,na haya kwa zanzbari halisi sio tabia zao na kwa mila zetu na utamaduni,senji unalala nje hasa na begi la pesa mtu hakuulizi lakini sasa hivi huthubutu,,hakuna biashara bali ni abbaisha tu,usiku watu na kazi zao.

Siseme kwa chuki bali nasema ukweli tanzania tunaichafua kwa ujumla,sio zanzbar tu.
 
Kwa picha ni vigumu kuipata kabla havija chomwa hivyo vibanda ila ukiangalia katika video utaona hakuna kilichobaki,ni vibanda vya mbao na miti tu,,,tofali haliungui hata siku moja,kama ingelikuwa biashara ya kweli hasa mtu angelikuwa na duka,,ilikuwa ni uababishajit tu wa mtu kujipatia rizki.

Mi nailaumu serikali kwa nini hawakuchukua hatua za kisheria pale wananchi walipopeleka malalamiko yao ? Kwa nini wasiwatafutie maeneo ambayo yalipaswa kuweka hata hayo mabanda ? Watalii walikuwa wakilala mika wakikabwa katika maeneo hayo,wakati wa usiku,na haya kwa zanzbari halisi sio tabia zao na kwa mila zetu na utamaduni,senji unalala nje hasa na begi la pesa mtu hakuulizi lakini sasa hivi huthubutu,,hakuna biashara bali ni abbaisha tu,usiku watu na kazi zao.

Siseme kwa chuki bali nasema ukweli tanzania tunaichafua kwa ujumla,sio zanzbar tu.

Wewe acha dharau, hata kama ni biashara ya kuuza ubuyu bado ni biashara, haistahiki kumchomea au kumharibia mtu biashara yake kwa sababu eti biashara hiyo ni ndogo!. ... ndogo kwako lakini kwa mwenzio ni kubwa, ndiyo inayompa kula na kusomesha watoto!..... serikali ya smz imesema hasara iliyoingiwa ni shilingi milioni 400, labda kwako hizi ni ndogo, lakini kwa wenzio ni kubwa.

Tukubali tusikubali, hakuna excuse yoyote ya kuchoma biashara za watu huko Zanzibar... kama ni pombe zanzibar ipo... kama ni Ngono Wazanzibari wanazifanya, sasa Usitetee uhalifu kwa kisingizio cha maadili wakati wewe binafsi unafahamu kabisa kwamba maovu yote hayo wazanzibari wanayafanya na wala Hoteli za kitalii zinazouza pombe hazichomwi moto.

Hulka ya choyo ni hulka mbaya sana, haijalishi ni nani anafanya choyo hiyo, huyo ni mtu duni na wala hawezi kuendelea, Mamlaka zipo ili kulinda kanuni na sheria, jamii kujichukulia sheria mkononi na kuharibu mali za watu ni kitendo cha Kinyama, ukosefu wa utu na roho mbaya.
Badilikeni
 
Ndugu zangu,
Mpashaji habari wangu amenijuza juu ya yale aliyoyaona Zenj; na hapa ni sehemu ya taarifa yake:

"Utafiti unaonyesha kuwa suala hili lilipangwa ******* na baada ya ***** jioni wakatoka watu takriban 60 hivi wakiwa na mapanga,visu,marungu,mashoka na kila mtu na chupa ya petrol na kwenda kuchoma vibanda hivyo hawakuwaruhusu kuchukuwa chochote.Kwa hiyo walichoma kwa ajili ya suala la ***** na ubara ambapo inasemekana wabara wamekuja kuchukuwa nafasi zao za kazi kwa kuwa wameajiriwa wengi kwenye mahotel.Kwa hiyo kitendo kimefanywa kwa sababu ya ***** ,utanzania bara na masuala ya kazi.Lakini kwa sasa wanaficha wanasema ni suala la ulevi na ukahaba.Tunajiuliza uvutaji unga si ulevi au ni bia tuu? Kama ni umalaya, je hawa vijana wa kiume wanaojiuza huku wanatoka bara?
Baada ya kuona hali ya huduma za kijamii za watu wale si nzuri niliongea na (***** kiongozi wa kundi moja la jamii) akanipa mablaketi na mashuka,vyakula ,nguo na vyombo.Ila ameniasa nisiseme zimetolewa na **** . Jioni ya jana tutawapelekea misaada na tumefanikiwa kupata waandishi wa cahannel ten,TBC na TVZ ili kuhamasisha watu wengine kuwasaidia.Hizo ndio some updates."

Naomba nirudie hapa kuwa hali eyote ya uvunjifu wa haki za binadamu ni tendo la kukemewa na kupingwa kwa nguvu zote kubalifu. walichofanya ndugu zetu Zenj kinahitaji kutolewa maelezo na kukoma, haraka.
 
Ndugu zangu,
Mpashaji habari wangu amenijuza juu ya yale aliyoyaona Zenj; na hapa ni sehemu ya taarifa yake:

"Utafiti unaonyesha kuwa suala hili lilipangwa ******* na baada ya ***** jioni wakatoka watu takriban 60 hivi wakiwa na mapanga,visu,marungu,mashoka na kila mtu na chupa ya petrol na kwenda kuchoma vibanda hivyo hawakuwaruhusu kuchukuwa chochote.Kwa hiyo walichoma kwa ajili ya suala la ***** na ubara ambapo inasemekana wabara wamekuja kuchukuwa nafasi zao za kazi kwa kuwa wameajiriwa wengi kwenye mahotel.Kwa hiyo kitendo kimefanywa kwa sababu ya ***** ,utanzania bara na masuala ya kazi.Lakini kwa sasa wanaficha wanasema ni suala la ulevi na ukahaba.Tunajiuliza uvutaji unga si ulevi au ni bia tuu? Kama ni umalaya, je hawa vijana wa kiume wanaojiuza huku wanatoka bara?
Baada ya kuona hali ya huduma za kijamii za watu wale si nzuri niliongea na (***** kiongozi wa kundi moja la jamii) akanipa mablaketi na mashuka,vyakula ,nguo na vyombo.Ila ameniasa nisiseme zimetolewa na **** . Jioni ya jana tutawapelekea misaada na tumefanikiwa kupata waandishi wa cahannel ten,TBC na TVZ ili kuhamasisha watu wengine kuwasaidia.Hizo ndio some updates."

Naomba nirudie hapa kuwa hali eyote ya uvunjifu wa haki za binadamu ni tendo la kukemewa na kupingwa kwa nguvu zote kubalifu. walichofanya ndugu zetu Zenj kinahitaji kutolewa maelezo na kukoma, haraka.

Hapo kwenye nyota nyota, sema tu msikitini
Yaani mi siogopi siku hizi kusema kuwa baadhi ya misikiti iwekuwa magenge ya kupangia uhaini...
 
Kwa nini na sisi tusiyashughulikie maduka ya wapemba hapo kariakoo?

Wakristu tunaogopa kulipa ubaya kwa ubaya! lakini pia tuwatahadharishe wazanzibar maana wanapojadili muungano wanatuona kama sisi ndiyo pekee tunaoutaka muungano...sivyo wao wanapata faida nyingi sana ktk muungano kuliko Tanganyika lakini hawataki kutangaza hilo. mimi napenda muungano huu usife lakini nawaomba wenzetu waanze kuwa waungwana tuheshimu muungano huu kwa pamoja
 
Waswahili wanasema mtoto umleavyo ndivyo anavyo kuwa, kama ni unyama basi huu wakuchomewa vibanda vya uzaji Gongo na uchafu wa ngono nimadogo kuliko mulio wafanyia Wazanzibar na munayo waendeleza kuyafanya.

mumesahau unyama aliofanya xxxxxxxxxxxxxxxxxxx 26/27 zidi ya Wazanzibar?

au Wazanzibar hawana damu wana utomvu? unyama sasa unarudi kwenu,umleavyo ndivyo akuwavyo mumezowea kufanya ushenzi wahali yajuu kwa Wazanzibar kwa hio hayo hata bado.

Kama kweli mumeona mumefanyiwa unyama vunja Muungano na rudini kwenu ukerewe? musilete excuse za kuwa hoo Wapemba wako bara sijuwi wana maduka nyiyi hayo maduka kama yamewatowa zaibaki basi mutaashiwa nyiyi majambazi mujigode.

hatuwezi kuza utaifa wetu kwa Wapemba waloko Tanganyika.

wakitaka welcame home.

Hauwezi kuja kwetu ukatutukana pamoja na mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi hii. Mna sehemu yenu ambako hamuishi kututukana sasa unaona hiyo haitoshi hadi uje huku kwetu? Kwa hilo mimi nimekushtaki. Nimeomba ufungiwe daima. Labda utakaporudi kwa jina lingine utakuwa na adabu. Mnatuharibia jamvi.

Amandla.....
 
Kauli yako " Watanganyika wenzetu" ni mbaya kupindukia kwa kuwa ina malengo ya kibaguzi na kujenga chuki miongoni mwa jamii ya kitanzania, wale ni watanzania wenzetu sio watanganyika. Kwamba walichomewa vibanda vyao kwa msingi wametoka bara hilo halina ubishi lakini halihalalishi kutumia neno tanganyika katika sakata hilio. Usikubali kuwa mateka wa wale wahuni, wavuta bangi, wasio hata na elimu ya kuchanganua mambo ya dunia waliochoma vibanda vile, wale ni majambazi tu kama majambazi wengine na watachukuliwa hatua za kisheria. Kwamba kuna watu wanataka kuwawekea mawakili hiyo siyo hoja kwa kuwa mawakili ni wasaidizi wa mahakama kutenda haki. Ikithibitishwa mahakamani bila kuacha shaka kwamba wale ndo waliochoma vibanda vile watahukumiwa tu, isipothibitiswa kwamba ndio wao waliochoma wataachiwa huru, hiyo ndio sheria. Wale mpaka sasa ni watuhumiwa tu, mpaka itakapothibitishwa mbele ya mahakama kwamba ni wao ndio waliofanya kitendo kile, inawazekana sio wao ni wengine. Kitendo cha kuchoma moto vibanda kimefanyika hilo halina ubishi, shida sasa iliyopo ni kuwapata wahusika hasa ni akina nani? hiyo sasa ndio kazi ya polisi na mahakama, na waathirika wawasaidie polisi kuwatambua watu hao na kutoa ushahidi mahakamani.
 
Kauli yako " Watanganyika wenzetu" ni mbaya kupindukia kwa kuwa ina malengo ya kibaguzi na kujenga chuki miongoni mwa jamii ya kitanzania, wale ni watanzania wenzetu sio watanganyika. Kwamba walichomewa vibanda vyao kwa msingi wametoka bara hilo halina ubishi lakini halihalalishi kutumia neno tanganyika katika sakata hilio. Usikubali kuwa mateka wa wale wahuni, wavuta bangi, wasio hata na elimu ya kuchanganua mambo ya dunia waliochoma vibanda vile, wale ni majambazi tu kama majambazi wengine na watachukuliwa hatua za kisheria. Kwamba kuna watu wanataka kuwawekea mawakili hiyo siyo hoja kwa kuwa mawakili ni wasaidizi wa mahakama kutenda haki. Ikithibitishwa mahakamani bila kuacha shaka kwamba wale ndo waliochoma vibanda vile watahukumiwa tu, isipothibitiswa kwamba ndio wao waliochoma wataachiwa huru, hiyo ndio sheria. Wale mpaka sasa ni watuhumiwa tu, mpaka itakapothibitishwa mbele ya mahakama kwamba ni wao ndio waliofanya kitendo kile, inawazekana sio wao ni wengine. Kitendo cha kuchoma moto vibanda kimefanyika hilo halina ubishi, shida sasa iliyopo ni kuwapata wahusika hasa ni akina nani? hiyo sasa ndio kazi ya polisi na mahakama, na waathirika wawasaidie polisi kuwatambua watu hao na kutoa ushahidi mahakamani.

Ndugu zangu,
Mpashaji habari wangu amenijuza juu ya yale aliyoyaona Zenj; na hapa ni sehemu ya taarifa yake:

"Utafiti unaonyesha kuwa suala hili lilipangwa ******* na baada ya ***** jioni wakatoka watu takriban 60 hivi wakiwa na mapanga,visu,marungu,mashoka na kila mtu na chupa ya petrol na kwenda kuchoma vibanda hivyo hawakuwaruhusu kuchukuwa chochote.Kwa hiyo walichoma kwa ajili ya suala la ***** na ubara ambapo inasemekana wabara wamekuja kuchukuwa nafasi zao za kazi kwa kuwa wameajiriwa wengi kwenye mahotel.Kwa hiyo kitendo kimefanywa kwa sababu ya ***** ,utanzania bara na masuala ya kazi.Lakini kwa sasa wanaficha wanasema ni suala la ulevi na ukahaba.Tunajiuliza uvutaji unga si ulevi au ni bia tuu? Kama ni umalaya, je hawa vijana wa kiume wanaojiuza huku wanatoka bara?
Baada ya kuona hali ya huduma za kijamii za watu wale si nzuri niliongea na (***** kiongozi wa kundi moja la jamii) akanipa mablaketi na mashuka,vyakula ,nguo na vyombo.Ila ameniasa nisiseme zimetolewa na **** . Jioni ya jana tutawapelekea misaada na tumefanikiwa kupata waandishi wa cahannel ten,TBC na TVZ ili kuhamasisha watu wengine kuwasaidia.Hizo ndio some updates."

Naomba nirudie hapa kuwa hali eyote ya uvunjifu wa haki za binadamu ni tendo la kukemewa na kupingwa kwa nguvu zote kubalifu. walichofanya ndugu zetu Zenj kinahitaji kutolewa maelezo na kukoma, haraka.

Alamsik.
 
Baada ya kuchomewa nyumba na biashara zao, wale Watanganyika wenzetu bado wanaendelea kuteseka kwa kuishi maisha mabaya kuliko hata wakimbizi. Kwa sasa wamehifadhiwa katika vyumba viwili vidogo, kimoja wanalala wanaume, kingine wanawake. Ni zingira la kutisha ambapo wanalala zaidi ya watu 40 katika chumba ambamo hamna kitanda, wala godoro wala chandarua na mbu ni wengi.
Kina mama wanaishi na watoto katika chumba hicho kidogo, kwa kweli ni pabaya kuliko hata zizi. cha kusikitisha zaidi, eneo hilo hamna hata choo.

Binafsi naamini serikali haina sababu ya kukaa kimya ikiwaacha wananchi wake wakiteseka ugenini huko kwenye machozi. Lazima kitu kifanyike kuwakomboa hawa wenzetu.

Serikali iseme mara ngapi?

Kesi si iko Mahakamani?
 
Stop xenophobia in Zanzibar! and we should not fall in the same boat (Tanganyika) lets have strength to overcome our pain, so that this will end in a peaceful way. We should agree on how and when to end this marriage (Tanganyika and Zanzibar) as Lula has written in Raia Mwema 11/05/2011
 
Du kweli tuankokwenda siko kabisa timefika kiasi cha kutishiana maisha sisi kwa sisi.
Mie nimesoma zanzibar pale Haille Sellasie miaka ile ya 90 haya mambo yalikuwepo japo si kwa kiasi hiki wazanzibar kuwachukia wabara, nakumbuka tukienda shule walikua wanatuita vichogo. Sasa naona wanadhihirisha kweli hawataki wabara wanfanye kazi huko.
Hivi assume wabara nao wakiamua kuwachomea vibanda hawa wapemba walio jazana huku bara itakuaje?
 
Du kweli tuankokwenda siko kabisa timefika kiasi cha kutishiana maisha sisi kwa sisi.
Mie nimesoma zanzibar pale Haille Sellasie miaka ile ya 90 haya mambo yalikuwepo japo si kwa kiasi hiki wazanzibar kuwachukia wabara, nakumbuka tukienda shule walikua wanatuita vichogo. Sasa naona wanadhihirisha kweli hawataki wabara wanfanye kazi huko.
Hivi assume wabara nao wakiamua kuwachomea vibanda hawa wapemba walio jazana huku bara itakuaje?
Na sisi tunaitwa wapemba hata kama sio mpemba ni mmakunduchi,,ila tunaitwa wapemba,halafu hili tukio sio la wapemba limefanyika unguja huko kaskazini,,,
 
Hapo kwenye nyota nyota, sema tu msikitini
Yaani mi siogopi siku hizi kusema kuwa baadhi ya misikiti iwekuwa magenge ya kupangia uhaini...

Una uhakika Mkuu. Au ndio kila ovu ni la misikitini tu. Siungi mkono hoja hii.
 
Kama mnataka kuwachomea wapemba maduka chomeni tu mnasubiri nini nyie magovi. Tumesema muungano is enough tunamaanisha hivyo haijalishi nani atapoteza mali au roho binafsi niko tayari kupoteza roho kwa kupigania zanzibar yangu niipendayo.
 
hehehe.. warudi bara nao.. znz yenyewe ndogo! .. Mmasai na znz wapi na wapi... nashangaa kuwaona wamejaa kule .. rudini huku tanganyika
 
Kwa picha ni vigumu kuipata kabla havija chomwa hivyo vibanda ila ukiangalia katika video utaona hakuna kilichobaki,ni vibanda vya mbao na miti tu,,,tofali haliungui hata siku moja,kama ingelikuwa biashara ya kweli hasa mtu angelikuwa na duka,,ilikuwa ni uababishajit tu wa mtu kujipatia rizki.

Mi nailaumu serikali kwa nini hawakuchukua hatua za kisheria pale wananchi walipopeleka malalamiko yao ? Kwa nini wasiwatafutie maeneo ambayo yalipaswa kuweka hata hayo mabanda ? Watalii walikuwa wakilala mika wakikabwa katika maeneo hayo,wakati wa usiku,na haya kwa zanzbari halisi sio tabia zao na kwa mila zetu na utamaduni,senji unalala nje hasa na begi la pesa mtu hakuulizi lakini sasa hivi huthubutu,,hakuna biashara bali ni abbaisha tu,usiku watu na kazi zao.

Siseme kwa chuki bali nasema ukweli tanzania tunaichafua kwa ujumla,sio zanzbar tu.


,,,,,@ nilipo BOLD,,,Mmmh kaka hio sio ZENJI ya leo,leo hii hakuna watu tapeli ka watoto wa hapo DARAJANI,kuna hao jamaa wanajifanya madalali wa kuuza magari,ukiingia vibaya tu wanakuumiza,tena nawapa tahadhari ndugu zangu BARA huko,usije ukathubutu ku deal na hao watu,unless uhakikishe kila kitu kipo mezani,yaani ka ni gari unaliona,na hakikisha unaondoka zenji baada ya kuwa umeshalipakia kwenye meli,na meli IMESHAONDOKA na we ndo uondoke,kuna jamaa anaitwa SAIDI (al maarufu KIBAHOLA),na mwenzake KHAMIS BAPE,ni balaa,wameliza watu miliioni zaidi ya 100,huko bara na hapo kisiwani,ZENJI IMEBADIKA kabisa.
 
Du kweli tuankokwenda siko kabisa timefika kiasi cha kutishiana maisha sisi kwa sisi.
Mie nimesoma zanzibar pale Haille Sellasie miaka ile ya 90 haya mambo yalikuwepo japo si kwa kiasi hiki wazanzibar kuwachukia wabara, nakumbuka tukienda shule walikua wanatuita vichogo. Sasa naona wanadhihirisha kweli hawataki wabara wanfanye kazi huko.
Hivi assume wabara nao wakiamua kuwachomea vibanda hawa wapemba walio jazana huku bara itakuaje?


Mtakufa njaa kwa kuendekeza pombe na ufisadi.

Hao unaowaita "Wapemba" ni wachapa kazi na ndio maana wamefikia hapo walipo.

Mkiwachomea, watarudi kwao wataanza upya.

Waliondoka huku kwao kutokana na fitna zenu na mkiondoka watarudi kwao na baada ya miaka 10 mtakuja kuwaomba hao hao.

Wacheni mikwara hio.
 
Back
Top Bottom