PostGE2025 Watanganyika msipojikomboa sasa, basi tena

PostGE2025 Watanganyika msipojikomboa sasa, basi tena

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Hapa sizungumzii mambo ya chama, nazungumzia icon muhimu ya Tanganyika ambayo Nyerere aliitupa baharini.

Kuna baraka watu wanashindwa kuzipata kwakuwa Mungu akituma anakuta hakuna adrees ya kueleweka hivyo zinakuwa suspended.

Kusubiri CNN au BBC wakukomboe ni mstumizi mabaya ya akili.

2015 ilikuwa penalty ya wazi kwa upinzani kuingia Ikulu na sasa 2025-2026 kuna penalty ya wazi kwa Watanganyika kupata TAIFA lao. Mkikosa hii penalt msahau kabisa neno Tanganyika
 
Hapa sizungumzii mambo ya chama, nazungumzia icon muhimu ya Tanganyika ambayo Nyerere aliitupa baharini.

Kuna baraka watu wanashindwa kuzipata kwakuwa Mungu akituma anakuta hakuna adrees ya kueleweka hivyo zinakuwa suspended.

Kusubiri CNN au BBC wakukomboe ni mstumizi mabaya ya akili.

2015 ilikuwa penalty ya wazi kwa upinzani kuingia Ikulu na sasa 2025-2026 kuna penalty ya wazi kwa Watanganyika kupata TAIFA lao. Mkikosa hii penalt msahau kabisa neno Tanganyika
Uko pamoja na Samia? Maana yake unaunga mkono mauaji aliyofanya kwa vijana wetu?
 
Saa ya ukombozi ni sasa

Screenshot_20251103-215308~2.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom