Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Hapa sizungumzii mambo ya chama, nazungumzia icon muhimu ya Tanganyika ambayo Nyerere aliitupa baharini.
Kuna baraka watu wanashindwa kuzipata kwakuwa Mungu akituma anakuta hakuna adrees ya kueleweka hivyo zinakuwa suspended.
Kusubiri CNN au BBC wakukomboe ni mstumizi mabaya ya akili.
2015 ilikuwa penalty ya wazi kwa upinzani kuingia Ikulu na sasa 2025-2026 kuna penalty ya wazi kwa Watanganyika kupata TAIFA lao. Mkikosa hii penalt msahau kabisa neno Tanganyika
Kuna baraka watu wanashindwa kuzipata kwakuwa Mungu akituma anakuta hakuna adrees ya kueleweka hivyo zinakuwa suspended.
Kusubiri CNN au BBC wakukomboe ni mstumizi mabaya ya akili.
2015 ilikuwa penalty ya wazi kwa upinzani kuingia Ikulu na sasa 2025-2026 kuna penalty ya wazi kwa Watanganyika kupata TAIFA lao. Mkikosa hii penalt msahau kabisa neno Tanganyika