mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
- Thread starter
-
- #21
nyinyi watu kutoka moshi ndio wizi wakubwa nyie kwani hatuwahoji ao wenzako huku zanzibarushauri wako kama mganga wa kienyeji, haya nenda uje siku nyingine kuchukua majibu yako
soma maelezo vizuri ili ufahamu, mimi sijasema muungano uvunjike, nimesema watanganyika wasio kazi waondoshwe zanzibar mnatuchafulia hatutaki,Muungano wetu hautavunjwa na wagonjwa wa akili ka weye. Ati kaibiwa sim, akakupigia ukachukia. Kweli mambo mengine, tafuteni kona nyingine.
Kuibiwa sim tu, tayari muungano uvunjwe. Kila Mtanganyika aondoshwe huko kwenyu kwa sababu jamaa yako weye kaibiwa sim. Ilikuwa na siri za muungano nini?? Yaani kwa mawazo yako mazuri hivyo waona kuwa muungano huu mtukufu ukivunjika leo, kesho asubuhi utaipata hiyo simu??
Aksante tumekusikia na kabla ya mwaka huu muungano hautakuwepo ili sim yako irudishwe. Ikirudi, tutaanza tena mchakato wa kuurudisha.
Ha ha ha hakuna kichogo pia hakuna brain folds unachopata hapo ni akili kama tikiti maji!
ndio nina uhakika kwani hii tabia imeenea sana hapa zanzibar, watoto wetu washaibiwa sana na wale machingaUna uhakika na unacho kisema ?
kwani ale wanaiba, wale wanakuja kwa starehe zao sisi hatuwataki hawa wiziHao watoto wanalazimishwa kutazama hiyo mitikisiko? Mbona hamsemi juu ya wale wanaolala ufukweni na vichupi?
mashoga ao umewaona wapi kama na wewe humoMwenzangu labda atusaidie na wale mashoga waliojaa kibao tena wazanzibar nao tumewaharibu sie n a mombasa pia wapo neno nataka nikusaidie mlee mwanao katika njia impasayo nae hataiacha mpaka uzeeni , wazazi siku ya kiama tuna cha kujibu kwa kuwalea watoto njia zisizo sahihi mpaka kuwa kama wanyama malezi mabovu ndio yanaaribu watoto.
tatizo la kichwa kutokuwa na kichogo huondoa uwezo wa kufikiri.
ah wantusumbuaZANZIBAR ndo kwa watoto wa bi mdogo wengi eti?
acha kutunga watanganyika wengi hawatakiwi na wanawake kutoka zanzibar, uko bara na sisi tumepita mademu wanatukubali lakini nyinyi ni nadra sana kukubalika na wanawake kutoka zenjNa sisi watanganyika tumechoka na tabia chafu za wazanzibar!Haiwezekani wanaume watu wazima wagombane na kupigana na wanawake wakigombea wanaume!
Msituletee ustaarabu wenu mbovu wa Zenj huku bara!
HATUUTAKI!
mkuu hili ni swala la kitaalam kabisaaaa.
umekuuma ukweli sio, haijaalishi ni ngozi aina gani tunaongea tabia, halafu ni vizuri umekuja ntakuuliza, hivi watu8 hawa machinga mbona wadogo hakuna shule za kuwasomesha uko? hawana wazazi uko? inakuwaje mtu anamuacha mwanawe aje kufanya wizi huku?We mshenzy hebu jitazame hiyo ngozi yako halafu uione ina utofauti gani na hao unaowaita Watanganyika???
Warogwa wewe!!!
nenda zako darasanihata sisi hatuwataki,hatuutaki muungano,ni viongozi tu wanaulazimisha
ao machinga si ndo wanaotuniwaDawa yao ni TINDIKALI tuu...!!
nikafanye nn darasani?nenda zako darasani
acha upumbavu wewe wale wa kariakoo hawaibi wanauza simu, na wanaoiba kariakoo ni ndugu zako wewe au ndo huwaoniInabidi tuanze na wale wapemba wakariakoo